February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
Hii ngoma ni kali kila sekta wakuu. Huyu dogo ni next big thing.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo Kontawa>>>>Young killer>>>>>Young Lunya>>>>Rapcha?????Lyrics zimenyooka sana... Ngoma haina maneno ya matusi matusi.. so clean! Ngoma kali.
Hii ngoma ni kali kila sekta wakuu. Huyu dogo ni next big thing
Young killer ule moto mwingine mzee... Lunya simkubali Rapcha atleastKwahyo Kontawa>>>>Young killer>>>>>Young Lunya>>>>Rapcha?????
HahahaMitaa niliyotoka polisi wanauza gongo[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna nini kwenye hiyo remix kilicholeta ukakasi ?hii nyimbo kaitolea remix kamuweka konde imekuwa kinyesiiiii sio nyimbo tena
Kuna nini kwenye hiyo remix kilicholeta ukakasi ?
kaimba mipasho nyimbo ilitakiwa kusimama kwenye lengo na sio alichoimba konde.Utaskia kisa katajwa asake wa tandale [emoji1][emoji1] all in all ile og ni kal sababu Ina zile verse zote mbil za kontawa n za moto alafu uku kwenye rmx wametoa verse moja ila konde kaimba poa tu
Furaha yako sio genuine.Utaskia kisa katajwa asake wa tandale [emoji1][emoji1] all in all ile og ni kal sababu Ina zile verse zote mbil za kontawa n za moto alafu uku kwenye rmx wametoa verse moja ila konde kaimba poa tu
Young killer above em allKwahyo Kontawa>>>>Young killer>>>>>Young Lunya>>>>Rapcha?????
Hiyo ngoma n nzuri Ila kumlinganisha kontawa na Young killer n kutafuta dhambi ambayo hautasamehewa kamwe...Kwahyo Kontawa>>>>Young killer>>>>>Young Lunya>>>>Rapcha?????