[emoji23][emoji23][emoji23] na lazima atakua Jolie Jolie tu aliekuja kukucheka pm jamani.Asante mkuu. Yaani nmechekwa hadi kwenye PM. Naomba unifichie aibu. Japo hupiki jitahidi siku hiyo upike.. Manake natia aibu. SALAMU hizi zimfikie Jolie Jolie.
Mi chai napenda ila sio na sukari nyingi.Ndo maana sinywi chai.
Yaani Jolie Jolie kanicheka sana. Sitacheza na yeye.. Asante kwa offer.[emoji23][emoji23][emoji23] na lazima atakua Jolie Jolie tu aliekuja kukucheka pm jamani.
Nitakupikia siku hiyo usijali
Umewaza kiutu uzima. Wewe una akili sana mkuu.Mtu akiolewa na mwanaume anejua kupika ndio anakuwa makini balaa, na anafit sana jikoni kwani anajua akifanya vitu ovyo mumewe anaelewa. Sasa mtu alieolewa na mume asiejua kitu[emoji13] [emoji13] Chakula kiunguzwe, kipikwe ovyo kisiwive vizuri ye anaona sawa tu, tena anaogoa hata kusema ukweli anaogopa asije akaambiwa apike yeye kama anaweza. Lakini anaejua haoni tabu kukosoa anajua hata akiambiwa pika mwenyewe anaweza
Asante mkuu wangu wa kazi. Nitazingatia yote ulionishauri. Asante pia kwa kitumia muda wako kunielekeza.Hongera kwa uthubutu,punguza mafuta tho. Mengine yote kamaliza culture gal,kazi kwako
Hahahaaaa.... Usimlaumu. Huyo hajui mambo ya jikoni. Ndo maana tunamuelekeza kwa upole[emoji23][emoji23][emoji23]Nyiiingi,huwez geuzia chips sahan ya udongo,na plastic wamekataza
Asante mkuu. Ile ya kusukuma sina tatizo. Sababu nanyunyuzia mafuta kidogo na kijiko huku naigeuza hadi inaiva. Tatizo na kuitengeneza iwe ya duara. Chapati nikisukuma umbo lake ukaona picha. Unaweza cheka hadi mbavu ziume.Hahaha mkuu figganigga ulivyoanza kujisifia kumbe ni chapati za maji aiseee...
Sasa pancake ama chapati za kumimina itakuaje si utataka uanzishiwe jukwaa lako kabisa hahaha
Anyway, naona chapati yako iko poa tu jitahidi kupunguza mafuta na usipike na moto mwingi.
Kwa chapati za kusukuma tafuta thread yangu humu nilifundishwa na my wife Evelyn Salt.
Halafu Jolie Jolie umeongea kama kweli vileee [HASHTAG]#thinking[/HASHTAG]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Asante mkuu. Yaani nmechekwa hadi kwenye PM. Naomba unifichie aibu. Japo hupiki jitahidi siku hiyo upike.. Manake natia aibu. SALAMU hizi zimfikie Jolie Jolie.
Shida yake tulale na nnya ya kuku vitandani,mana sie wengine ni kama tunaishi stoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tufuge kwa nyumba zipi mkuu? Tunanunua sokoni wale fresh kabisa. Kufuga nyumba zetu za kupanga hizi nafasi ndogo
Huyo atakuwa na chembechembe za ushogaMwanaume anajua mpaka kuunga mchuzi wa nazi anawahi kuoa kutafuta nn
Unakuta kwake kuna kibao cha chapati,cha kukunia nazi na kinu hahaha hao hawaoagi
Mi hapana sukari kweny chapati naweza rudisha chenchi,yupo shoga ye mpaka za kusukuma anatia sukari,na za maji hatii chumv ni sukari tu uwiiiChapati zote lazima niweke sukari kiduchu na chumvi kiduchu yaan kama hakuna sukari sijui nazionaje walai.
Sukari imenishinda kwenye chapati ya maji.
Naonaga inanoga ukiblend yai unga na chumvi. Ukishapata rojo ndo ukate kate kitunguu hoho na carrot unaikwangua.
Hata mi nlikua hivyo utotoni,tena mpaka kitunguu na nyanya,wakati wa kula navichambua naweka pembenInategemea
Wanangu hawali wakikuta karoti na hoho zinaonekana.
Chapati umepika linene mno na itakua haijaiva ndani hahaha na hayo mafuta sas hatari kwa afyaYaani Jolie Jolie kanicheka sana. Sitacheza na yeye.. Asante kwa offer.
Babu we unajua kupika?Huyo atakuwa na chembechembe za ushoga
AhaahaaaahaaNunua sahani acha ubahili
Mimi nmepata aliyetulia. Ila hatako kuolewa eti bado yupo yupo. [emoji23][emoji23]Tatizo sio mahari tatizo sijapata alietulia
Hahahaaa... Huwezi elewa utamu wake hadi uonje.Hiyo mingano iliyofinyangwa kwa pamoja ndo unaiita chapati? Acha dharau mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Imetokea tu. Wala sijaogopa chochote. Ndo ujuzi wangu umeishiaMafuta yamezidi,ulikua unaogopa kuunguza?
na ubwabwa mzuriiiAiseee uko vizuri.... kitu cha njegere na ubwabwa au chapati?