Sijalala nataka niidownload nitaicheck kesho. Siipati! Leo kazi nnayo.WCB waongo walidanganya kuwa wimbo wa Diamond umetumika ila haujasikika kabisa.....
Diamond ni mkubwa hapaswi danganya vitu vya ajabu ajabu
Tayari ni msanii mkubwa hana sababu ya kuwafanya watu wamfatilie wakati tayari ana wafuasi wengi
Hata kwenye nyimbo zilizotumika hajaandikwa
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
huko naingiaga siku nina 10gb z aairtel tena kudownload biography moviesNimeikuta YTS ngoja niishushe, kesho ntaiangalia.
ndo nimedownload hata sijaangalia ,fununu kwamba kipande cha nyimbo ya haleluya kilitumiakaHuyo diamond yupoπ π π
Mimi YTS ndiyo huwa naukubali sana,huko naingiaga siku nina 10gb z aairtel tena kudownload biography movies
WCB waongo walidanganya kuwa wimbo wa Diamond umetumika ila haujasikika kabisa.....
Diamond ni mkubwa hapaswi danganya vitu vya ajabu ajabu
Tayari ni msanii mkubwa hana sababu ya kuwafanya watu wamfatilie wakati tayari ana wafuasi wengi
Hata kwenye nyimbo zilizotumika hajaandikwa
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
NASKIA WIMBO WA MOND HALLELUJAH UMETUMIKA PIA KAMA SOUND TRAK.SIJUI KAPATA MPUNGA CHIBU?