Hii Coming 2 America sijaielewa...

WCB waongo walidanganya kuwa wimbo wa Diamond umetumika ila haujasikika kabisa.....

Diamond ni mkubwa hapaswi danganya vitu vya ajabu ajabu

Tayari ni msanii mkubwa hana sababu ya kuwafanya watu wamfatilie wakati tayari ana wafuasi wengi

Hata kwenye nyimbo zilizotumika hajaandikwa

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
 
Sijalala nataka niidownload nitaicheck kesho. Siipati! Leo kazi nnayo.
 
Hii ni classic movie ya BLACK PEOPLE tumekulia na hii movie back in the days sasa imetoka sequel naweka link hapa ila ni quality ya kawaida mb kama 200 ukitaka ya 2 gb ma torrents katafute mwenyewe mimi huwa nashuhulika na za mb 150-200 hali ya uchumi wa kati miyeyusho sana nchii hii


I suggest chagua link 2 uingie zippyshare the easiest to download
 
NASKIA WIMBO WA MOND HALLELUJAH UMETUMIKA PIA KAMA SOUND TRAK.SIJUI KAPATA MPUNGA CHIBU?
 
NASKIA WIMBO WA MOND HALLELUJAH UMETUMIKA PIA KAMA SOUND TRAK.SIJUI KAPATA MPUNGA CHIBU?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…