mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Itoke leo halafu uikute YTS leo? Hapo mpaka miezi mitatu ipite ndo utaikuta huko.Nimeikuta YTS ngoja niishushe, kesho ntaiangalia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itoke leo halafu uikute YTS leo? Hapo mpaka miezi mitatu ipite ndo utaikuta huko.Nimeikuta YTS ngoja niishushe, kesho ntaiangalia.
...Umeikuta kweli YTS, Mkuu? Imeishaingia huko? Maana linapukuja suala LA movie mpya za ma Black, naona kama huwa wanajiivuuuta sana!!!Nimeikuta YTS ngoja niishushe, kesho ntaiangalia.
Mkuu naomba menu ya kupata hizi 10gb kwa airtelhuko naingiaga siku nina 10gb z aairtel tena kudownload biography movies
Ipo mazee nimeshusha hadi download file jana usiku.Itoke leo halafu uikute YTS leo? Hapo mpaka miezi mitatu ipite ndo utaikuta huko.
Nina download file yake ya YTS...Umeikuta kweli YTS, Mkuu? Imeishaingia huko? Maana linapukuja suala LA movie mpya za ma Black, naona kama huwa wanajiivuuuta sana!!!
*149*99# ingia 1 ofa maalumu then 8 amsha popo,then 4Mkuu naomba menu ya kupata hizi 10gb kwa airtel
[emoji106]*149*99# ingia 1 ofa maalumu then 8 amsha popo,then 4
hamna kitu movie ya kawaida kuliko promo imenifanya kwa mara ya kwanza toka nizaliwe kupakua movie from hollwood within 24 hrs toka imeachiwa rasmi...sasa mule davido kaimba nini kile bora wangemweka 2pace na african queen au diamond na african beauty iseee....Haina maajabu yoyote
Hiyo hapo...NAONA IMEGOMA nilijaribu ku attach fileItoke leo halafu uikute YTS leo? Hapo mpaka miezi mitatu ipite ndo utaikuta huko.
Bora ata Davido.. shemeji yetu ndio sijaelewa kabisa alichokua anafanya mule 😂😂😂hamna kitu movie ya kawaida kuliko promo imenifanya kwa mara ya kwanza toka nizaliwe kupakua movie from hollwood within 24 hrs toka imeachiwa rasmi...sasa mule davido kaimba nini kile bora wangemweka 2pace na african queen au diamond na african beauty iseee....
shemeji aliact km mtoto zobazoba wa mtawala mbabe jirani na zamunda kigdom..Bora ata Davido.. shemeji yetu ndio sijaelewa kabisa alichokua anafanya mule 😂😂😂
Siyo lazima mzee. Boss level hata haijamaliza theatre release lakini ipo YTS.Itoke leo halafu uikute YTS leo? Hapo mpaka miezi mitatu ipite ndo utaikuta huko.
Muvi nzima hajaongea chochote 😀shemeji aliact km mtoto zobazoba wa mtawala mbabe jirani na zamunda kigdom..
Ebu kwanza tupe mrejesho, Ni kweli nyimbo ya mondi ipo kwenye iyo muvi?Kwa jinsi nilivyokua naisubiri kwa hamu, sijafurahia nilichokiona. Hebu alieielewa anieleweshe inahusu nini..?
Tusimulieni, hizo movie nyingine hazioneshwi vibanda umizaKwa jinsi nilivyokua naisubiri kwa hamu, sijafurahia nilichokiona. Hebu alieielewa anieleweshe inahusu nini..?