Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Tatzo eddy kakomaa kufanya production mwenyew kama alivyofanyaga ile ya kwanza.kasahau kwamba ameshazeeka..ilibid awape kaz kizaz kipya waifanye ki dot com zaid.sasa yeye kaleta ubongo muvi mule..kaweka watu wa ajabu ajabu..kiiukwel kaiharib comming to america1Kwa jinsi nilivyokua naisubiri kwa hamu, sijafurahia nilichokiona. Hebu alieielewa anieleweshe inahusu nini..?