Hii confidence ya kununua nyumba za watu na kuzifanya makazi mnapata wapi?

Hii confidence ya kununua nyumba za watu na kuzifanya makazi mnapata wapi?

Teslarati

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2019
Posts
2,621
Reaction score
10,466
Aisee mimi bora nijenge, ni mara mia ujinyime upange ijikusanye uje ujenge kuliko kununua nyumba alokua anaishi mtu kama family residence kisha uhamie humo.

Sababu ni kwamba wengi wetu wana fikra duni za uchawi na majini. Rafiki yangu kanunua nyumba pale magomeni aiseee kasumbuka balaa, kila siku mikosi, hela zinapotelea humohumo ndani. Leo ananipigia simu anasema mke wake kaenda kwa watumishi kaambiwa humo palikua panafugwa majini, na jamaa ameshanunua kwa mpunga mrefu tu.
 
Aisee mimi bora nijenge, ni mara mia ujinyime upange ijikusanye uje ujenge kuliko kununua nyumba alokua anaishi mtu kama family residence kisha uhamie humo.

Sababu ni kwamba wengi wetu wana fikra duni za uchawi na majini. Rafiki yangu kanunua nyumba pale magomeni aiseee kasumbuka balaa, kila siku mikosi, hela zinapotelea humohumo ndani. Leo ananipigia simu anasema mke wake kaenda kwa watumishi kaambiwa humo palikua panafugwa majini, na jamaa ameshanunua kwa mpunga mrefu tu.
Mawazo duni ya kimaskini ya ngozi nyeusi.Mwizi yumo humo humo ndani kama sii mume,muke,kama sio tayari mnafuga toto teja ndani ya familia yenu.
 
Back
Top Bottom