Hii confidence ya kununua nyumba za watu na kuzifanya makazi mnapata wapi?

Hii confidence ya kununua nyumba za watu na kuzifanya makazi mnapata wapi?

kuna namna ya Kuondoa hayo mazindiko na kuharibu hayo maagano. kwa waliokoka wanaweza kuwasiliana na wachungaji wao. Kwa wapagani kuna dawa za kunyunyizia unaondoa kila kitu humo.

soma uzi wangu wa visa vya udalali
 
Wakati wenzetu uchawi wao wakiurasimisha kwa jina la Sayansi leo tunachat JF sie tunahakikisha ukinunua nyumba hukai.
 
Sio tu Nyumba kwa Mambo ya kiimani hivi vitu Vya mali i.e Nyumba, Ardhi,Shamba, Mifugo ukinunua kwa Mtu inabidi ubadili umiliki wake wa kisheria za kibinadamu na kiroho pia. Kama sio muamini wa mambo ya kiroho Ipite tu hii Post alone.
Wokovu imefika nyumbani Leo. Samalekoo
 
Aisee mimi bora nijenge, ni mara mia ujinyime upange ijikusanye uje ujenge kuliko kununua nyumba alokua anaishi mtu kama family residence kisha uhamie humo.

Sababu ni kwamba wengi wetu wana fikra duni za uchawi na majini. Rafiki yangu kanunua nyumba pale magomeni aiseee kasumbuka balaa, kila siku mikosi, hela zinapotelea humohumo ndani. Leo ananipigia simu anasema mke wake kaenda kwa watumishi kaambiwa humo palikua panafugwa majini, na jamaa ameshanunua kwa mpunga mrefu tu.
Siku nyingi sana nimetoa tangazo kuwa mtu yeyote anayejua nyumba yenye majini, mizimu, vibwengo, mashetani au mauzauza yoyote aniambie iko wapi nikaishi hapo lakini sijapata. Haya mambo ni imani zako potofu tu. Mbona tunaishi kwenye nyumba za kupanga miaka na miaka?
 
Huyo mke na mtumishi wote ni viazi, afukize bange humo week tu mambo shwali.
 
Nimewahi msindikiza rafiki angu kufanya physical search ya nyumba kabla aja nunua ,si tuka kuta chumba kimoja kilikuwa kama kilinge wao wanadai ni kuna mganga alikua anakuja kumtibu mwenye nyumba so alikua ana tumia icho chumba aseee
 
Nimewahi msindikiza rafiki angu kufanya physical search ya nyumba kabla aja nunua ,si tuka kuta chumba kimoja kilikuwa kama kilinge wao wanadai ni kuna mganga alikua anakuja kumtibu mwenye nyumba so alikua ana tumia icho chumba aseee
Mshana Jr
 
Watanzania wengi zaidi wananunua magari used.
 
ujinga ni hali ukimwelekeza mtu anaelewa ....Toa ujinga huo wakupumbaza watu mitandaoni haya mambo yapo sana tu ila omba sana yasikukute
hamna cha kukukuta wala nini,kwani sisi tusioamini uchawi, tunaishi mbinguni ambako hamna uchawi?...hatuangaiki na mazindiko ya nyumba wala mashamba ilihali majirani kutwa kukesha na wachungaji na waganga miaka nenda rudi, na hamna wanachoambulia.....acheni huo ujinga wa fikra duni🚮🚮
 
Siku nyingi sana nimetoa tangazo kuwa mtu yeyote anayejua nyumba yenye majini, mizimu, vibwengo, mashetani au mauzauza yoyote aniambie iko wapi nikaishi hapo lakini sijapata. Haya mambo ni imani zako potofu tu. Mbona tunaishi kwenye nyumba za kupanga miaka na miaka?
Ni aibu kwa hili taifa kuwa na watu wa ajabu kiasi hiki, kutwa wao ni uchawi, nuksi , mikosi,maagano, madhabahu, udi , ubani, damu sijui ya nani,..hamna research wala reasoning.....upuuzi mtupu..hadi maviongozi yao yaliPANGA FORENI kwa babu wa kikombe cha miujiza🚮🚮
 
Vipi kuhusu nguo za mitumba,mashuka, viatu, magari tena used ya Tanzania?
Mimi binafsi napendelea kununua nyumba kuliko kujenga.
 
Back
Top Bottom