DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 2,011
- 4,705
ujinga ni hali ukimwelekeza mtu anaelewa ....Toa ujinga huo wakupumbaza watu mitandaoni haya mambo yapo sana tu ila omba sana yasikukuteWABONGO acheni FIKRA DUNI,...hakuna UCHAWI....Ni ujinga mtu mzima kuamini kuna UCHAWI, MIKOSI, NUKSI...🚮🚮
Kabisaaa watu wanadhani haya mambo yapogo kwenye movie tu ,kumbe ni maisha halisi ya watu baadhi hupitiaaHaya madude kama hayajakukuta ni bora uwe na akiba ya maneno
Wokovu imefika nyumbani Leo. SamalekooSio tu Nyumba kwa Mambo ya kiimani hivi vitu Vya mali i.e Nyumba, Ardhi,Shamba, Mifugo ukinunua kwa Mtu inabidi ubadili umiliki wake wa kisheria za kibinadamu na kiroho pia. Kama sio muamini wa mambo ya kiroho Ipite tu hii Post alone.
Siku nyingi sana nimetoa tangazo kuwa mtu yeyote anayejua nyumba yenye majini, mizimu, vibwengo, mashetani au mauzauza yoyote aniambie iko wapi nikaishi hapo lakini sijapata. Haya mambo ni imani zako potofu tu. Mbona tunaishi kwenye nyumba za kupanga miaka na miaka?Aisee mimi bora nijenge, ni mara mia ujinyime upange ijikusanye uje ujenge kuliko kununua nyumba alokua anaishi mtu kama family residence kisha uhamie humo.
Sababu ni kwamba wengi wetu wana fikra duni za uchawi na majini. Rafiki yangu kanunua nyumba pale magomeni aiseee kasumbuka balaa, kila siku mikosi, hela zinapotelea humohumo ndani. Leo ananipigia simu anasema mke wake kaenda kwa watumishi kaambiwa humo palikua panafugwa majini, na jamaa ameshanunua kwa mpunga mrefu tu.
Kwani kuna tatizo?Watanzania wengi zaidi wananunua magari used.
Vipi kuhusu magari ya mtumba/used?Nyumba kama hizo ukishanunua unafanyia biashara kama kupangisha sio unaenda ishi ww labda sehemu ambazo sio uswahili.
Kama nyumba ina tatizo basi na gari alilotumia Mjapan au Mchina wa kibudha litakuwa na shida pia.Kwani kuna tatizo?
hamna cha kukukuta wala nini,kwani sisi tusioamini uchawi, tunaishi mbinguni ambako hamna uchawi?...hatuangaiki na mazindiko ya nyumba wala mashamba ilihali majirani kutwa kukesha na wachungaji na waganga miaka nenda rudi, na hamna wanachoambulia.....acheni huo ujinga wa fikra duni🚮🚮ujinga ni hali ukimwelekeza mtu anaelewa ....Toa ujinga huo wakupumbaza watu mitandaoni haya mambo yapo sana tu ila omba sana yasikukute
Mwishoe wapangaji wafirwe na majini🤣🤣🤣🤣🤣Izo unatakiwa uinunue uigeuze lodge au ya kupangisha....Wapangaji watapambana na hali yao.
Ni aibu kwa hili taifa kuwa na watu wa ajabu kiasi hiki, kutwa wao ni uchawi, nuksi , mikosi,maagano, madhabahu, udi , ubani, damu sijui ya nani,..hamna research wala reasoning.....upuuzi mtupu..hadi maviongozi yao yaliPANGA FORENI kwa babu wa kikombe cha miujiza🚮🚮Siku nyingi sana nimetoa tangazo kuwa mtu yeyote anayejua nyumba yenye majini, mizimu, vibwengo, mashetani au mauzauza yoyote aniambie iko wapi nikaishi hapo lakini sijapata. Haya mambo ni imani zako potofu tu. Mbona tunaishi kwenye nyumba za kupanga miaka na miaka?