hamna cha kukukuta wala nini,kwani sisi tusioamini uchawi, tunaishi mbinguni ambako hamna uchawi?...hatuangaiki na mazindiko ya nyumba wala mashamba ilihali majirani kutwa kukesha na wachungaji na waganga miaka nenda rudi, na hamna wanachoambulia.....acheni huo ujinga wa fikra duni🚮🚮