Hii controversial ya Mwanzo wa ulimwengu na Dunia, Je inawezekana ndio siri kuu iliyofichwa na Mungu, Ukitoa Kifo ?

Hii controversial ya Mwanzo wa ulimwengu na Dunia, Je inawezekana ndio siri kuu iliyofichwa na Mungu, Ukitoa Kifo ?

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
20241220_170543.jpg


Hii ni THE GIDEONS Edition 1980 Copyringht by Thomas Nelson Inc.

Kwenye kitabu hiki kitakatifu cha Mungu, Musa aliandika kama ninavyo nukuu.

"IN THE BEGINING GOD CREATED THE HEAVEN AND THE EARTH, THE EARTH WAS WITHOUT FORM, AND VOID, AND DARKNESS WAS ON THE FACE OF THE DEEP, AND THE SPIRIT OF GOD WAS HOVERING OVER THE FACE OF THE WATER"

SWALI; Je, tunaweza kuweka kwenye hisia zetu na mawazo yetu kwamba maji ndio kitu pekee kwenye Dunia hii kilichokaa kwa muda mrefu, mpaka pale Roho ya Mungu ilipokuwa inatembea kwenye vilindi vya maji na kuanza process ya uumbaji kwa siku saba ?

Argument yangu ni kwamba, kama wanasayansi wanasema dunia ina umri wa miaka Bilions 4.5, Je wanaweza kwenda deep sea au kwenye virgin destination ya bahati ambapo hapajawahi kuguswa na kuchukua sample za maji na kuzipima umri wake ?

Hii biblia alinipa Bibi yangu na yeye anasema alipewa miaka ya 80's and Early 90"s

wajuzi wa mambo, Karibuni tupeane madini juu ya mwanzo wa ulimwengu kwa namna ulivyoandikwa kwenye maandiko matakatifu.
20241220_182832.jpg
 

Attachments

  • 20241220_182832.jpg
    20241220_182832.jpg
    347.8 KB · Views: 4
Mkuu, Biblia haijasema lini hasa dutu za dunia ziliumbwa - zaidi ya kusema tu ^hapo mwanzo!^

Hadi wakati wa uumbaji wa viumbe hai duniani, maji yalikuwa yamefunika nchi kavu kiasi kwamba dunia nzima ilikuwa mithili ya bahari moja kubwa tangu ncha ya kaskazini hadi kusini kuzunguka kote.

Hakuna sehemu yoyote kwenye Biblia panaposemwa Mungu alifinyanga udongo ama miamba inayounda dunia.
 
Tatizo wanasayansi wengi hawaamini kuhusu Mungu, mfano hapo kusema dunia ina umri wa miaka Bilions 4.5. pengine ukifatilia wapo nje ya biblia na hata tafiti zao ni kupotosha au kukana kama kuna Mungu, wao wapo na mlengo mwingine nk. Pengine kuna ukweli wanujua au nawenyewe wapo kutafuta majibu.
 
View attachment 3180998

Hii ni THE GIDEONS Edition 1980 Copyringht by Thomas Nelson Inc.

Kwenye kitabu hiki kitakatifu cha Mungu, Musa aliandika kama ninavyo nukuu.

"IN THE BEGINING GOD CREATED THE HEAVEN AND THE EARTH, THE EARTH WAS WITHOUT FORM, AND VOID, AND DARKNESS WAS ON THE FACE OF THE DEEP, AND THE SPIRIT OF GOD WAS HOVERING OVER THE FACE OF THE WATER"

SWALI; Je, tunaweza kuweka kwenye hisia zetu na mawazo yetu kwamba maji ndio kitu pekee kwenye Dunia hii kilichokaa kwa muda mrefu, mpaka pale Roho ya Mungu ilipokuwa inatembea kwenye vilindi vya maji na kuanza process ya uumbaji kwa siku saba ?

Argument yangu ni kwamba, kama wanasayansi wanasema dunia ina umri wa miaka Bilions 4.5, Je wanaweza kwenda deep sea au kwenye virgin destination ya bahati ambapo hapajawahi kuguswa na kuchukua sample za maji na kuzipima umri wake ?

Hii biblia alinipa Bibi yangu na yeye anasema alipewa miaka ya 80's and Early 90"s

wajuzi wa mambo, Karibuni tupeane madini juu ya mwanzo wa ulimwengu kwa namna ulivyoandikwa kwenye maandiko matakatifu.
View attachment 3181012
Not water. Imeandikwa waters. Rudia kusoma halafu uwe unanukuu kama ilivyo. Sasa wewe unabadilisha.
Water na Waters ni tofauti mkuu

Halafu pia sio The Heaven. Bali The Heavens
 
Back
Top Bottom