kama wangelikuwa wakweli wasingelifikia hatua ya kuachana bila ya kupeana taarifa.Haha kwamba haikuwa couple ya kweli?
kama wangelikuwa wakweli wasingelifikia hatua ya kuachana bila ya kupeana taarifa.
inasemekana bwana yule amefikia hatua ya kumtishia bibi yule akiwa muongo atamwaga mboga ya muhogo
Upo kwenye right trackHuwa sipendi kabisa kushabikia couple. Kuna couple moja nilijidai kuishabikia wamenivua nguo mchana kweupe
Cc Daemusin
teh tehYule bwana ukimuangalia unaweza kusema bonge la mstaarabu
Upo kwenye right track
teh teh
bwana yule ni mtemi kuliko mwanamume wa mkoani, haikuwa busara kukimbilia kwenye spika za muziki (media)
hao wahenga wenziwe walishamtumia wakamtelekezaNdio maana mimi siku zote sipendagi wanaume wadogo kuliko mimi, bibie alikosea sana kuhadaika na mahaba ya mbele ya camera alitakiwa atafute wahenga wenzie
Aisee kwa hiyo alidhani mfupa uliowashinda wahenga kijana atauweza, ila wamenisikitisha sana aiseehao wahenga wenziwe walishamtumia wakamtelekeza
Hahacode imekuwa ngumu sana
teh teh
Kwangu mimi binafsi ukiniuliza best couple ya mastaa wa bongo nitakuambia Navy Kenzo yani Aika na Nahreel.
View attachment 1142391
Hawa vijana wanajielewa sana they have no drama, maisha yao ya kimapenzi wameyaweka mbali sana na social media. Hata ule ukaribu na wasanii wenzao wajinga wajinga (mashosti) hawana.
Nadhani hizi zinaweza kuwa sababu za kuwafanya wadumu katika mapenzi na kama kundi la muziki, mana ni ngumu sana kuunda kundi halafu mke na mume ndo mnafanya kazi pamoja. Kama P Square pacha wameshindwana itakuwa wapenzi?
Hongereni sana Aika na Nahreel, achaneni na upuuzi puuzi leeni watoto wenu, fanyeni mziki, pigeni kazi kwa manufaa yenu na kwa manufaa ya watoto wenu na taifa kwa ujumla
akiangalia umri unasogea na yeye anatamani kuingia kwenye ulimwengu wa bibi na bwana kolomijee.Aisee kwa hiyo alidhani mfupa uliowashinda wahenga kijana atauweza, ila wamenisikitisha sana aisee
Hao hawaja tofautiana hadhi, changanyikeni inatisha.
bingoSongsong couple nini
Songsong couple nini