Hii couple inajielewa sana

Hii couple inajielewa sana

Yule bwana ukimuangalia unaweza kusema bonge la mstaarabu
kama wangelikuwa wakweli wasingelifikia hatua ya kuachana bila ya kupeana taarifa.
inasemekana bwana yule amefikia hatua ya kumtishia bibi yule akiwa muongo atamwaga mboga ya muhogo
 
Ndio maana mimi siku zote sipendagi wanaume wadogo kuliko mimi, bibie alikosea sana kuhadaika na mahaba ya mbele ya camera alitakiwa atafute wahenga wenzie
teh teh
bwana yule ni mtemi kuliko mwanamume wa mkoani, haikuwa busara kukimbilia kwenye spika za muziki (media)
 
Ndio maana mimi siku zote sipendagi wanaume wadogo kuliko mimi, bibie alikosea sana kuhadaika na mahaba ya mbele ya camera alitakiwa atafute wahenga wenzie
hao wahenga wenziwe walishamtumia wakamtelekeza
 
Mchaga na muarachuga
Kwangu mimi binafsi ukiniuliza best couple ya mastaa wa bongo nitakuambia Navy Kenzo yani Aika na Nahreel.

View attachment 1142391

Hawa vijana wanajielewa sana they have no drama, maisha yao ya kimapenzi wameyaweka mbali sana na social media. Hata ule ukaribu na wasanii wenzao wajinga wajinga (mashosti) hawana.

Nadhani hizi zinaweza kuwa sababu za kuwafanya wadumu katika mapenzi na kama kundi la muziki, mana ni ngumu sana kuunda kundi halafu mke na mume ndo mnafanya kazi pamoja. Kama P Square pacha wameshindwana itakuwa wapenzi?

Hongereni sana Aika na Nahreel, achaneni na upuuzi puuzi leeni watoto wenu, fanyeni mziki, pigeni kazi kwa manufaa yenu na kwa manufaa ya watoto wenu na taifa kwa ujumla
 
Aisee kwa hiyo alidhani mfupa uliowashinda wahenga kijana atauweza, ila wamenisikitisha sana aisee
akiangalia umri unasogea na yeye anatamani kuingia kwenye ulimwengu wa bibi na bwana kolomijee.
mwaka mmoja tu wa kufahamiana kwao zaidi wanatangaza ndoa
 
Back
Top Bottom