Hii Dawa kweli ni kiboko ya popo!

Hii Dawa kweli ni kiboko ya popo!

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Mungu ni mwema nyote Mabibi na mabwana!

Imesaidia wengi japo baada ya muda hurudi Tena nawewe unaweka Tena.

Chakufanya. Nunua ugoro kulingana na ukubwa wa paa lako(nyumba) Nunua Grease oil (grisi) changanya na paka sehemu wanayoingilia na kutokea ama toboa signboard panda juu paka mbao za paa mchezo kwisha.

Ukifanikiwa njoo hapa utoe ushuhuda. Haita ku gharimu hata 5000.

Ibada njema
 
Mungu ni mwema nyote Mabibi na mabwana!!

Imesaidia wengi japo baada ya muda hurudi Tena nawewe unaweka Tena.

Chakufanya. Nunua ugoro kulingana na ukubwa wa paa lako(nyumba) Nunua Grease oil (grisi) changanya na paka sehemu wanayoingilia na kutokea ama toboa signboard panda juu paka mbao za paa mchezo kwisha.


Ukifanikiwa njoo hapa utoe ushuhuda. Haita ku gharimu hata 5000.

Ibada njema
Nini hatima ya hao popo,Kuama au kufa?.
 
Mungu ni mwema nyote Mabibi na mabwana!!

Imesaidia wengi japo baada ya muda hurudi Tena nawewe unaweka Tena.

Chakufanya. Nunua ugoro kulingana na ukubwa wa paa lako(nyumba) Nunua Grease oil (grisi) changanya na paka sehemu wanayoingilia na kutokea ama toboa signboard panda juu paka mbao za paa mchezo kwisha.


Ukifanikiwa njoo hapa utoe ushuhuda. Haita ku gharimu hata 5000.

Ibada njema
Ujenzi mbovu ndiyo unafanya nyumba iwe makazi ya popo. Nadhani inachangiwa zaidi na hali ya uchumi kuwa dhaifu.
 
Mkuu,chanzo cha hao Popo kufanya makazi yao ni kipi?
Kipi kinawavutia mpaka kupelekea wao kufanya makazi hapo?

Nafikiri watu wakijua chanzo cha tatizo itasaidia sana.
Mi niliwakuta na sijajua chanzo ni kipi ila najua dawa aliyosema ilisaidia sana na hii ni baada ya Kutumia dawa hizi za kitaalam zikashindwa
 
Back
Top Bottom