Hii Dawa kweli ni kiboko ya popo!

Hii Dawa kweli ni kiboko ya popo!

Nadhani dawa siyo lazima iwe matibabu. Kwenye lugha ya kiswahili, dawa inaamanisha pia suluhisho la jambo linalotatiza. Kwa mfano unaweza kusema ''dawa ya ndege wanaokula mpunga ni kufunga king'ora''
Uko sahihi ukitaka Sumu direct inaua tofauti na kuua hiyo siyo Sumu Kwa UELEWA wangu.
 
Panda juu ya roof funga taa kule ndani wataondoka wenyewe, nyumba za kisasa za sasahivi popo siyo rahisi kuingia maana hauweki vent unaweka madirisha makubwa alafu nje pembeni ya bati piga PVC hawaingii
 
Panda juu ya roof funga taa kule ndani wataondoka wenyewe, nyumba za kisasa za sasahivi popo siyo rahisi kuingia maana hauweki vent unaweka madirisha makubwa alafu nje pembeni ya bati piga PVC hawaingii
Ahsantee sana Kwa nyongeza malidhawa🙏🙏
 
Mungu ni mwema nyote Mabibi na mabwana!!

Imesaidia wengi japo baada ya muda hurudi Tena nawewe unaweka Tena.

Chakufanya. Nunua ugoro kulingana na ukubwa wa paa lako(nyumba) Nunua Grease oil (grisi) changanya na paka sehemu wanayoingilia na kutokea ama toboa signboard panda juu paka mbao za paa mchezo kwisha.


Ukifanikiwa njoo hapa utoe ushuhuda. Haita ku gharimu hata 5000.

Ibada njema
Nipake nyumba yangu ya kisasa ugoro na grisi kweli?!
 
Back
Top Bottom