Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #21
Uko sahihi ukitaka Sumu direct inaua tofauti na kuua hiyo siyo Sumu Kwa UELEWA wangu.Nadhani dawa siyo lazima iwe matibabu. Kwenye lugha ya kiswahili, dawa inaamanisha pia suluhisho la jambo linalotatiza. Kwa mfano unaweza kusema ''dawa ya ndege wanaokula mpunga ni kufunga king'ora''
Ahsantee sana Kwa nyongeza malidhawaππPanda juu ya roof funga taa kule ndani wataondoka wenyewe, nyumba za kisasa za sasahivi popo siyo rahisi kuingia maana hauweki vent unaweka madirisha makubwa alafu nje pembeni ya bati piga PVC hawaingii
Mkuu sijui vyote huenda ipoππHamna app naweza ipakuwa ikawafukuza?
Tumia hii hii App ya JF itawafukuza wote,Hamna app naweza ipakuwa ikawafukuza?
πππ Mkuu ugoro unauziwa kama nyanya Kila kona ya mtaa Sasa Mimi nafaidikaje Sasa?Mkuu lipia tangazo lako la UGORO
ππππππ Mkuu ugoro unauziwa kama nyanya Kila kona ya mtaa Sasa Mimi nafaidikaje Sasa?
Kumbe? Asee ni balaa yaani wakitoka unaweza dhani bomu la nukilia limetifua ardhi πHalafu wapo kiu Kooπππ
Nipake nyumba yangu ya kisasa ugoro na grisi kweli?!Mungu ni mwema nyote Mabibi na mabwana!!
Imesaidia wengi japo baada ya muda hurudi Tena nawewe unaweka Tena.
Chakufanya. Nunua ugoro kulingana na ukubwa wa paa lako(nyumba) Nunua Grease oil (grisi) changanya na paka sehemu wanayoingilia na kutokea ama toboa signboard panda juu paka mbao za paa mchezo kwisha.
Ukifanikiwa njoo hapa utoe ushuhuda. Haita ku gharimu hata 5000.
Ibada njema
Kwakweli usipake. Paka malashi ya Pemba ama Ice creamNipake nyumba yangu ya kisasa ugoro na grisi kweli?!
UhakikaNahisi hiyo itafukuza pants pia.
PopoteBila shaka ni mikoani huko
Dar hauwezi kukuta popoPopote
Lete sababu ya kusema hivyo pengine wewe ndo waweza kuwa na Hilo tatizo.Una tatizo la afya ya akili nakushaur nenda kapate matibabu.
Nilikuwa kigogo fresh nyumba ya jirani ilikuwa na popoDar hauwezi kukuta popo