Hii Dharau ni mwisho, Sidhani kama kuna ya juu yake

Huko kwenye Baridi ndio kuzuri [emoji849] sijui nije huko huko [emoji848]
😳kwahiyo badala ya Mimi kufanya kaz ya kukufulia nguo,unataka ufue zangu.Kweli kaz sipati kwako aisee, 🤣🙌 nimeprove kibarua Sina kwako
 
[emoji15]kwahiyo badala ya Mimi kufanya kaz ya kukufulia nguo,unataka ufue zangu.Kweli kaz sipati kwako aisee, [emoji1787][emoji119] nimeprove kibarua Sina kwako
Nimeamua tu kuzileta uzifulie tu huko huko, siunajua huku Maji ya chumvi tena yanaharibu nguo[emoji849]
 
Umekosea saaana Mkuu, Ungechukua hiyo 500 ake ukajumlisha na hiyo 50 ako ukazitupia kwa dustbin, Wallah ungegeuza mgongo angezifuata.

Afu heshim pesa ng'ombe hii pesa itakulaani kuigawagawa kwa Malaya. I guess Wenda usifanimiwe tena.
 
Umekosea saaana Mkuu, Ungechukua hiyo 500 ake ukajumlisha na hiyo 50 ako ukazitupia kwa dustbin, Wallah ungegeuza mgongo angezifuata.

Afu heshim pesa ng'ombe hii pesa itakulaani kuigawagawa kwa Malaya. I guess Wenda usifanimiwe tena.
Huwenda ushavuta mwanang maana Avatar inaongea Kila kitu, Sasa wewe ukitupa pesa kwa Dustbin na mimi nikigawa kwa watu ambao wewe unaita malaya nani hapo anakuwa hajaiheshimu pesa?
 
Huwenda ushavuta mwanang maana Avatar inaongea Kila kitu, Sasa wewe ukitupa pesa kwa Dustbin na mimi nikigawa kwa watu ambao wewe unaita malaya nani hapo anakuwa hajaiheshimu pesa?
Bora itupwe itaokotwa na mhitaj na atakushukuru ila siyo kumpa Malaya,
Hawna shukran hao Mbwa ushapgwa za uso ila bado unatetea tu Wallah aibu ilikustahili Mkuu.
 
Pole mkuu, ushazoea buza kwetu ukitoa hiyo utashukuriwa kwa majina yote utaitwa papa mobimba, ndama mutoto ya ng'ombe,

fanya kilichokuleta nchi za watu hizo hela uje utupe huku😂😂
 
Kenya pisi kali zakutafuta na tochi
Mombassa, Lamu na sehemu zote za pwani upande wa Kenya kuna watoto wakali sana. Ila sasa ukija upande wa Mainland ndio utakutana na hao wenye sura za mizimu yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…