Hii Dharau ni mwisho, Sidhani kama kuna ya juu yake

Hii Dharau ni mwisho, Sidhani kama kuna ya juu yake

Nahisi unadhani masihara ninaposema niunganishe na box.....Niko more than serious nataka nikache hii kaz inayonidumaza kiuchumi mwenzio....nataka nivae ukiume nipambanie michongo yoyote yaan.Hata wewe unaweza niajiri tu ilimradi Ilo donge nono lipo kweli....naitaka sana pesa ya jasho langu aisee 🤜
Sio kila jasho utaliweza, majasho mengine waachie akina Dimpoz..kazi kidogo pesa mlima..upo?
 
Sio kila jasho utaliweza, majasho mengine waachie akina Dimpoz..kazi kidogo pesa mlima..upo?
Labda nizeeke nitakata tamaa,yaan hapa kichwa kipo vururu hata bange nitauza.Kufa kupo tu
 
We mujinga,
Ungeongeza nyingine kama hiyo alete menyu ungepata 500 ksh nyingine jumla 1000 kshs.ungeongeza 500 ingine akakurudishia 50 na 500k tena .
Ndo unaaga,jumla 1500kshs.
Hapo ulete uzi.
 
Kutoa tip sio shobo, tembea kidogo duniani ufunguke akili
Dunia gani umetembea wewe? Kila kitu kinafanywa mahala pake ukichanganya wema sehem isipohitajika hiyo ni shobo na unatakiwa uache, nenda kaishi USA Kama unavyoishi bongo asubuhi amka ukamsalimie jirani uone ni ustaarabu au shobo
 
Nahisi unadhani masihara ninaposema niunganishe na box.....Niko more than serious nataka nikache hii kaz inayonidumaza kiuchumi mwenzio....nataka nivae ukiume nipambanie michongo yoyote yaan.Hata wewe unaweza niajiri tu ilimradi Ilo donge nono lipo kweli....naitaka sana pesa ya jasho langu aisee 🤜
Maliza kwanza mkataba wako na BM X6

😂😂
 
Back
Top Bottom