Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji119]Poa ila acha shobo inaonekana unapenda sana kushobokea watu hasa mademu unampa hela ya soda alikuomba?
Yeah sure,subira yavuta heriBasi sawa endelea kumhudumia mleta mada sisi wengine tunaendelea kusubiria.
Ni motisha + kikazKuna baadhi ya nchi kutoa "Tip" ni kama lazima.... Ukiingia "restaurant" ukapata huduma kwenye ankara yako inakuja pamoja na gharama ya "Tip" kwa aliyekuhudumia, usipotoa anaweza kukujazia watu. Marekani, na Ufaransa ni kawaida.
Yaah! tena ya halali kabisa.Ni motisha + kikaz
Asee inasikitisha sana, na mm kuonesha kwamba naheshimu pesa nikaibeba na 500 yakeKenya ni nchi ya hovyo sana! Watu hawana utu wala ubinadamu! Hawaujui utu na ustaarabu! Muda wote ni fujofujo.Kiustaarabu hata kama ilikuwa ndogo alipaswa kupokea kusmile na kuendelea na shughuli zake.Sidhani kama kuna mtanzania hata awe mke wa Bakhressa anaweza kufanya hivyo!
Yeah,akae Kwa kutulia aisee,....lakini kaonekana ana subra sana😃[emoji2] blaza mbona unataka Kuni overtake subiri kwanza nihudumiwe bhana
Kabisa yaanYaah! tena ya halali kabisa.
Nakusikiliza wewe,afu mbona kama huduma yenyewe ndo umeiwekea kipaumbele kuliko kufanyiwa usafi Kwa room🤣🙌 wanaume hataree sana😋Sasa huduma itaanza rasmi lini Madam[emoji39] tuandikishiane mikataba ikibidi[emoji848]
Mkataba uwe mwez mmoja,malipo ni Kila wiki😃Sasa huduma itaanza rasmi lini Madam[emoji39] tuandikishiane mikataba ikibidi[emoji848]
🤣ndo hiyohiyo mkuuSasa huduma si kufanyiwa usafi jamani, au ww unamaanisha huduma ipi?
Poa,utaacha funguo Kwa jirani au nakukuta ndani?....niandalie na kitaulo Cha kukung'utia vumbi😉Sawa, Sasa hivi nipo Mombo hapa napata msosi then niendelee na safari, Kesho Asubuh natakiwa kuamkia Ofisini. So nikifika utakuja basi coz Ghetto litakuwa na vumbi kishenzi
Naomba mimi nikuajiri mrembo.You are welcome.
Tukiwaambia wawe wanapitia awali hawataki....ona sasa ameandika matumbo😃Matumbo ndo utumbo?