Hii dhulma ya kunyang'anya mali binafsi haitaiacha salama Marekani

Hii dhulma ya kunyang'anya mali binafsi haitaiacha salama Marekani

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Kuna mamia kama siyo maelfu ya mabilionea wa kirusi wamepokonywa mali zao na marekani na washirika wake kwa kisingizio eti wako karibu na Putin!! Huu ni unyang'anyi na ujambazi

Mtu kama Abramovich amepokonywa mabilioni ya dola pamoja na meli zake binafsi, majumba, klabu yachelsea, ndege binafsi nk.

Ni mahakama ya shetani tu inaweza kuhukumu kuwa jambo kama hilo ni halali. Ila Marekani kuna siku jambo hili litawageuka, maana ukipanda lazima uvune.

Ukipanda udhalimu unavuna udhalimu na si vinginevyo!
 
Marekani atawanyonya mavi , nyie kaeni Kwa kutulia
 
Mwenye nguvu muite power Sasa Kwa kuwa USA ndo ana mabilionea wengi Duniani basi Putin aanze kuwanganya Mali zao ili haki itendeke.
 
Silaha za nuclear zitauzwa kwa magaidi nyingi kuifuta marekani
Kwanini wawauzie watuwengine iliwaifute, siwangeifuta wenyewetu.

Putini nae ndio walewale uogatu,Kibabu kinamyima usingizi kilasiku bado anakivumiliatu angelianzisha mwenyewe tuone mchezo ukoje.
 
Kuna mamia kama siyo maelfu ya mabilionea wa kirusi wamepokonywa mali zao na marekani na washirika wake kwa kisingizio eti wako karibu na Putin!! Huu ni unyang'anyi na ujambazi

Mtu kama Abramovich amepokonywa mabilioni ya dola pamoja na meli zake binafsi, majumba, klabu yachelsea, ndege binafsi nk.

Ni mahakama ya shetani tu inaweza kuhukumu kuwa jambo kama hilo ni halali. Ila Marekani kuna siku jambo hili litawageuka, maana ukipanda lazima uvune.

Ukipanda udhalimu unavuna udhalimu na si vinginevyo!
Dua la Kuku USA ipo miaka na miaka na etaendelea kuwepo hata wewe kenge mweusi na chuki zako utakapotoweka duniani na kizazi chako hao wataendelea kuwepi....
 
Back
Top Bottom