Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Haya ni mambo ya kukemea. Huu sio mchezo wa kiungwana. Hapa siyo uyanga kila jambo.Haya yanga wamepokonywa point
Mechi ni draw..
Huu ni uzi wa ngapi unaanzisha kuhusu yanga ndani ya dk 30 tu?Haya ni mambo ya kukemea. Huu sio mchezo wa kiungwana. Hapa siyo uyanga kila jambo.
Hujaona alivyopigwa yeye?View attachment 2092976
Imeniuma sana tena sana. Mchezaji professional kama Djuma anacheza mchezo wa akina Ninja. Michezo ya kishamba ni ya kukemea katika soka la waungwana.
Yaani Football umegeuka uwanja wa ndondi. Halafu refa kapeta tu. Huu uhuni hautakiwi kufumbiwa macho.
Kwa hiyo ukifanyiwa faulo, na wewe ukirudishia hauadhibiwi eeee?Djuma kazingua ila refa alikua mbali nyuma yao na kibendera nae hakuona kwani tayar kashanyanyua juu kua mpira Djuma kafanyiwa faulo.
Sijasema hivo, alipaswa apewe umeme ila refa na kibendera hawakuona. Ndo hoja yangu hiyo.Kwa hiyo ukifanyiwa faulo, na wewe ukirudishia hauadhibiwi eeee?
Sasa unataka nianzishe uzi wa timu gani wakati matukio ya leo yalikuwa ni Yanga. Mbona unataka kuninyima haki yangu ya kuchangia hapa JF. Wewe hujakatazwa.Huu ni uzi wa ngapi unaanzisha kuhusu yanga ndani ya dk 30 tu?
Muangalieni huyu jamani asije kujitundika.
Tuoneshe alivyopigwa. Na kupigwa kwake siyo justification ya kumkung'uta mchezaji wa police ngumi ya pua.
Kkufupi hujawahi kucheza mpira kabisaSasa unataka nianzishe uzi wa timu gani wakati matukio ya leo yalikuwa ni Yanga. Mbona unataka kuninyima haki yangu ya kuchangia hapa JF. Wewe hujakatazwa.
Mzee, acha kutetea michezo ya hovyo hovyo. Mahaba weka pembeni. Unampiga mchezaji ngumi ya pua huoni unaweza kuua kabisa!?Kkufupi hujawahi kucheza mpira kabisa
Kama umewahi ungejua kwanini wachezaji wanafanya hivyo kama djuma.
Japo sio kitendo cha uungwana..
Nilivhokiona ni kwamba Mwamuzi alikuwa mbali na mchezo ilisimama Kwa ajili ya mpira wa kurushwa. Lineman alipomyoosha kibendera ndo matukio yote mawili ualipoyokea.Sasa unataka nianzishe uzi wa timu gani wakati matukio ya leo yalikuwa ni Yanga. Mbona unataka kuninyima haki yangu ya kuchangia hapa JF. Wewe hujakatazwa.
Beki ya Police alifanya nini!?. Djuma ameshindwa kucheza mpira kwa sababu ya uzee wake analeta michezo ya ngumi.Nilivhokiona ni kwamba Mwamuzi alikuwa mbali na mchezo ilisimama Kwa ajili ya mpira wa kurushwa. Lineman alipomyoosha kibendera ndo matukio yote mawili ualipoyokea...
Siyo lefa.....ni RefaView attachment 2092976
Imeniuma sana tena sana. Mchezaji professional kama Djuma anacheza mchezo wa akina Ninja. Michezo ya kishamba ni ya kukemea katika soka la waungwana.
Yaani Football umegeuka uwanja wa ndondi. Halafu refa kapeta tu. Huu uhuni hautakiwi kufumbiwa macho.
LEFA ni mnyama gani we VannesaView attachment 2092976
Imeniuma sana tena sana. Mchezaji professional kama Djuma anacheza mchezo wa akina Ninja. Michezo ya kishamba ni ya kukemea katika soka la waungwana.
Yaani Football umegeuka uwanja wa ndondi. Halafu refa kapeta tu. Huu uhuni hautakiwi kufumbiwa macho.
Oh!! Kumbe ni refa . Turudi kwenye mada. Huyo Mzee Djuma alichokifanya ni sawa!?Siyo lefa.....ni Refa