Hii Gari mnaionaje Wadau kwa Uzoefu wenu Maana watu Wanasema sana.

Hahahahaaa....yaani huu uzi mi kucheka tu. Ukiniuliza sababu hata sijui....hahahahahaa
 
jamani mtu aliye karibu nae amshtue aamke, maana hizo ndoto zake za kutisha zitamletea homa baadae.
 
huyu kaja kutoa stress zake na kuangalia mnavyolipuka ili atafute furaha yake kwa leo hivyo endeleeni kujaa povu
 
Hahahahah ameandika ndoto zake
 
Umekunywa chai lakini sio unatumia mda mwingi kutulisha matango pori
 


Picha tafadhali
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nunua IST au Nitz hasa ile yaris zitakufaa kwa barabara zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…