Hii Gari mnaionaje Wadau kwa Uzoefu wenu Maana watu Wanasema sana.

Hii Gari mnaionaje Wadau kwa Uzoefu wenu Maana watu Wanasema sana.

I love this thread aisee.....

Best thread of all time in JF.

Mkuu usiombe ushauri wa magari ya kishua namna hii JF.

Hakuna mwenye nalo!

Cha msingi nenda kwenye websites za mbele za car user experience utafaidika sana!

Hawa wehu wenzangu humu wanaona nyota tu hapa!
Watu wanambeza kuwa hana gari asa ameyajuaje hayo yote..!!!
[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787] Watasema kuyajua magar sio mpaka uwe na gari..
 
Lengo lako wala siyo kuomba ushauri kuhusu gari la kununua, lengo lako ni kujisifia tujue una uwezo wa kiuchumi kiasi gani, umefanikiwa tumejua.
 
Nashukuru Mkuu kwa kuwa mwelewa na kunielewesha. Nashangaa wadau wame panic sana. Sijaelewa kwa nini.


I love this thread aisee.....

Best thread of all time in JF.

Mkuu usiombe ushauri wa magari ya kishua namna hii JF.

Hakuna mwenye nalo!

Cha msingi nenda kwenye websites za mbele za car user experience utafaidika sana!

Hawa wehu wenzangu humu wanaona nyota tu hapa!
 
Nlipoanza kazi nlikuwa natumia tu kagari kadogo BMW nlinunua mil 34 toka japan. Nikawa nasema anyway ni tu gari twa kimaskini ngoja kwanza angalau niwe na tuvibanda twangu angalau tutatu hivi. Hivyo nikawa na BMW na SUV -VW Tourage.

Basi nilijenga tu banda twangu twa ghorofa tuwili na moja ya kawaida ila ni kubwa pia. Na wazo langu sasa niwe na gari kubwa zaidi ya hizo.sababu salary pia iliongezwa kazini nikawa nalipwa mil 53 take home Ukiacha marupurupu mengi na safari za nje kila mwezi.nikasema ni wakati wa kumiliki V8 Angalau ya kuanzia mwaka 2017 kuja juu. Na mimi huwa sinunui gari kama si chini ya 10,000 kms.

Wakati huo huo nawaza Sababu pia naipenda Ford Ranger ile ya Mmarekani mwenyewe. Sasa nachanganyikiwa nichukue gari zote mbili au nichukue moja kati ya hizo?nishaurini wadau.hizi nataka nianze nazo kwenye karatasi mwenyewe.

Sasa nataka kujua hizi gari ni imara kweli? V8 maana sometime nasafiri ndani TZ kwenye rough road. Na je mwenye uzoefu anaweza kunambia zile zenye speed 240-280 huwa zinafika vizuri tu hiyo speed? Maaana mimi huwa sipendi gari ya speed chini ya 200

Pia nataka ninunue na Mercedes Benz. Je hizi nazo mnazionaje? Maana naona wife yeye anataka hiyo kaipenda sana hatak kuendelea kutumia BMW X5 Anadai ameitumia miaka miwili amechoka anataka gari ya chini.hasa za kuanzia mwaka 2013 anasema kaiona ni nzuri.

Naombeni ushauri wenu hapo.
Utakuwa mhaya wewe khaaa....

tuvyumba tuwili twa ghorofa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kagari kadogo ka-BMW[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Dah maisha haya mweh...
 
Kama ni mkristo na ni mwaminifu kwenye kutoa fungu la kumi..basi kila mezi unayoa 5.3M daha I can imagine mchungaji wako alivyokupa mavyeo kanisani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Its joke tu jamani.
 
Achana na hizo gari zote chukua Range Rover sport 2013 hutajutia,kwa upande wangu V8 hainiingii akilini,hata hizi za sasa hivi...
 
Kwa nini huzipendi V8 na Range umependekeza ya mwaka 2013 miaka 6 ago. Why Chief?

Achana na hizo gari zote chukua Range Rover sport 2013 hutajutia,kwa upande wangu V8 hainiingii akilini,hata hizi za sasa hivi...
 
Kwa nini huzipendi V8 na Range umependekeza ya mwaka 2013 miaka 6 ago. Why Chief?
Achana na hizo gari zote chukua Range Rover sport 2013 hutajutia,kwa upande wangu V8 hainiingii akilini,hata hizi za sasa hivi...
 
[emoji3][emoji3]

Ni wewe huyuhuyu?
 
siku hizi haina haja ya kunywa pomne ulewe,, yaan maisha kwa anko magu yanawalewesha watu...
 
Back
Top Bottom