Hii Gari mnaionaje Wadau kwa Uzoefu wenu Maana watu Wanasema sana.

Hii Gari mnaionaje Wadau kwa Uzoefu wenu Maana watu Wanasema sana.


Ni wewe huyuhuyu?
Hahahahah naona umeamua kumvua taulo
 
Hii ni chai kabisa...!
Ulishalipa kodi ya baba mwenye nyumba...!?
 
Nini tatizo la X6 nifafanulie please

Mkuu kwa kipato chako, ata ningekua na robo ya mshahara wako kwa mwezi ningechukua hizi ndude:

BMW X series (X5 F15 au X3 F25 BUT SIO X6 kimbia ilo gari halifai)

Land Cruiser J200 facelift mwaka 2015 hivi.

Discovery 4 au 3 Diesel.

Audi Q7

Kama Pickup Ford Ranger
 
Kama si mwenye kuifaham english hawez kuelewa. Nmetumia english coz aliyetuma text alitumia english.

Unaonaje ukitumia lugha ya taifa? Hiki kichina hata swahiba wangu Chin Sho joanah anatoka kapa wallah
 
Nitume vya nini ndugu yangu?ionekane najidai? Mbona ni vitu vidogo tu hivyo?

Nyumba ya gorofa na ya kawida inamahusiano gani hapa pili mshahara wako unatuhusu nini tatu wewe ni limbukeni na nne tunaomba picha za gari zako na nyumba zako ili tuende sawa.
 
Kawaida sana. Zipo nyuzi nyingi tu naandika kwa niaba ya watu wenye matatizo ili wasidhani wapo peke yao. Na huo ni mmoja wapo. Napenda kuwa funny. So nashukuru amepata muda wa kunipitia, kunifahamu vzuri.na wengi watafanya hivyo which is giving me credits

Hahahahah naona umeamua kumvua taulo
 
Nlipoanza kazi nlikuwa natumia tu kagari kadogo BMW nlinunua mil 34 toka japan. Nikawa nasema anyway ni tu gari twa kimaskini ngoja kwanza angalau niwe na tuvibanda twangu angalau tutatu hivi. Hivyo nikawa na BMW na SUV -VW Tourage.

Basi nilijenga tu banda twangu twa ghorofa tuwili na moja ya kawaida ila ni kubwa pia. Na wazo langu sasa niwe na gari kubwa zaidi ya hizo.sababu salary pia iliongezwa kazini nikawa nalipwa mil 53 take home Ukiacha marupurupu mengi na safari za nje kila mwezi.nikasema ni wakati wa kumiliki V8 Angalau ya kuanzia mwaka 2017 kuja juu. Na mimi huwa sinunui gari kama si chini ya 10,000 kms.

Wakati huo huo nawaza Sababu pia naipenda Ford Ranger ile ya Mmarekani mwenyewe. Sasa nachanganyikiwa nichukue gari zote mbili au nichukue moja kati ya hizo?nishaurini wadau.hizi nataka nianze nazo kwenye karatasi mwenyewe.

Sasa nataka kujua hizi gari ni imara kweli? V8 maana sometime nasafiri ndani TZ kwenye rough road. Na je mwenye uzoefu anaweza kunambia zile zenye speed 240-280 huwa zinafika vizuri tu hiyo speed? Maaana mimi huwa sipendi gari ya speed chini ya 200

Pia nataka ninunue na Mercedes Benz. Je hizi nazo mnazionaje? Maana naona wife yeye anataka hiyo kaipenda sana hatak kuendelea kutumia BMW X5 Anadai ameitumia miaka miwili amechoka anataka gari ya chini.hasa za kuanzia mwaka 2013 anasema kaiona ni nzuri.

Naombeni ushauri wenu hapo.

I love this thread aisee.....

Best thread of all time in JF.

Mkuu usiombe ushauri wa magari ya kishua namna hii JF.

Hakuna mwenye nalo!

Cha msingi nenda kwenye websites za mbele za car user experience utafaidika sana!

Hawa wehu wenzangu humu wanaona nyota tu hapa!
 
Jamaa lisengerema kweli kumbe linakaa kwa dada yake [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom