Hii Gari mnaionaje Wadau kwa Uzoefu wenu Maana watu Wanasema sana.

Hii Gari mnaionaje Wadau kwa Uzoefu wenu Maana watu Wanasema sana.

Uliposema kwamba una BMW umenunua Mil 34 nikajua hapa hakuna kitu sasa unasemaje nimenunua simu laki 9 bila kusema simu gani, pia lugha ya twa, tuwili, tutatu hapo hakuna hata shule hahahaha
 
Nlipoanza kazi nlikuwa natumia tu kagari kadogo BMW nlinunua mil 34 toka japan. Nikawa nasema anyway ni tu gari twa kimaskini ngoja kwanza angalau niwe na tuvibanda twangu angalau tutatu hivi. Hivyo nikawa na BMW na SUV -VW Tourage.

Basi nilijenga tu banda twangu twa ghorofa tuwili na moja ya kawaida ila ni kubwa pia. Na wazo langu sasa niwe na gari kubwa zaidi ya hizo.sababu salary pia iliongezwa kazini nikawa nalipwa mil 53 take home Ukiacha marupurupu mengi na safari za nje kila mwezi.nikasema ni wakati wa kumiliki V8 Angalau ya kuanzia mwaka 2017 kuja juu. Na mimi huwa sinunui gari kama si chini ya 10,000 kms.

Wakati huo huo nawaza Sababu pia naipenda Ford Ranger ile ya Mmarekani mwenyewe. Sasa nachanganyikiwa nichukue gari zote mbili au nichukue moja kati ya hizo?nishaurini wadau.hizi nataka nianze nazo kwenye karatasi mwenyewe.

Sasa nataka kujua hizi gari ni imara kweli? V8 maana sometime nasafiri ndani TZ kwenye rough road. Na je mwenye uzoefu anaweza kunambia zile zenye speed 240-280 huwa zinafika vizuri tu hiyo speed? Maaana mimi huwa sipendi gari ya speed chini ya 200

Pia nataka ninunue na Mercedes Benz. Je hizi nazo mnazionaje? Maana naona wife yeye anataka hiyo kaipenda sana hatak kuendelea kutumia BMW X5 Anadai ameitumia miaka miwili amechoka anataka gari ya chini.hasa za kuanzia mwaka 2013 anasema kaiona ni nzuri.

Naombeni ushauri wenu hapo.
Usiwahadithie watu ndoto zako,
Waonyeshe
 
Ungenyamaza chalii yangu maana unaonesha huna akili.hata mfano wako ni wa mtu ambaye hana akili.ngoja nikupe darsa.

Ukisema umenunua simu ni sawa na kusema nimenunua gari. Hayo majina yote in english we call them common noun.

Sasa mimi nimetaja proper noun.BMW. ambapo kwenye simu mtu angesema nmenunua SAMSUNG au IPHONE.

Sasa SAMSUNG na IPHONE zina Matoleo mengi ndo mtu akitaka zaidi atasema IPHONE 5 AU SAMSUNG S 8.

Sijui kama umeweza kuelewa.fahamu una deal na watu wenye akili siyo kama wewe kilaza.

Tunyumba, tu gari, tu vyumba haya ni maneno sahihi ktk kiswahili. Fasaha yanatumika Kudogosha. Kuonesha kuwa kitu hicho either umekidharau au ni kidogo.

kama ambavyo mtu angesema nina kagari kamoja. Au kameza keupe. Pia inatumika kama prefix ambayo inafanya kazi kama adjective.yaani kuvumisha.

Msione watu tumo humu tunacheka cheka na nyie mkadhani ni wenzenu.mpaka siku unikute na shangazi au mama yako ndo utaleta heshima

Uliposema kwamba una BMW umenunua Mil 34 nikajua hapa hakuna kitu sasa unasemaje nimenunua simu laki 9 bila kusema simu gani, pia lugha ya twa, tuwili, tutatu hapo hakuna hata shule hahahaha
 
Ungenyamaza chalii yangu maana unaonesha huna akili.hata mfano wako ni wa mtu ambaye hana akili.ngoja nikupe darsa.

Ukisema umenunua simu ni sawa na kusema nimenunua gari. Hayo majina yote in english we call them common noun.

Sasa mimi nimetaja proper noun.BMW. ambapo kwenye simu mtu angesema nmenunua SAMSUNG au IPHONE.

Sasa SAMSUNG na IPHONE zina Matoleo mengi ndo mtu akitaka zaidi atasema IPHONE 5 AU SAMSUNG S 8.

Sijui kama umeweza kuelewa.fahamu una deal na watu wenye akili siyo kama wewe kilaza.

Tunyumba, tu gari, tu vyumba haya ni maneno sahihi ktk kiswahili. Fasaha yanatumika Kudogosha. Kuonesha kuwa kitu hicho either umekidharau au ni kidogo.

kama ambavyo mtu angesema nina kagari kamoja. Au kameza keupe. Pia inatumika kama prefix ambayo inafanya kazi kama adjective.yaani kuvumisha.

Msione watu tumo humu tunacheka cheka na nyie mkadhani ni wenzenu.mpaka siku unikute na shangazi au mama yako ndo utaleta heshima
Sasa wewe si ndo ndezi uliesema umenunua BMW milioni 34 bila kusema ni BMW ipi? 3 Series, 5 Series, 7 Series inaonekana hata gari huna...
 
I should have wondered if you'd understand... 😁😁😁 I wont blame you.

Sasa wewe si ndo ndezi uliesema umenunua BMW milioni 34 bila kusema ni BMW ipi? 3 Series, 5 Series, 7 Series inaonekana hata gari huna...
 
Hizo milioni 53 ni mshahara kama wa miaka kumi na ngapi?
 
Nimesoma hii post kwa lafudhi ya kihaya. Sijui nimekuaje!!
 
Tumekywa tukila siku za sikukuu kupitia harufu ya misosi ya majirani kama unavyoziendesha hizo gari wewe pia
 
Kati ya post zinazochefua,
This must be number one
[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Mleta mada inaonekana huna hata uwezo wa kumiliki Toyota Duet namba AAA.

Pumbafu sana.
 

Ni wewe huyuhuyu?
Sio kwa kufokonyoa huku.....
Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu
 
''Na mimi huwa sinunui gari kama si chini ya 10,000 kms.'' Hapa nimepata walakini wa kukushauri..Kwa mshahara wako hupaswi kabisa kununua gari used.Hata ingekuwa chini ya Kms 2.Mara nyingi huwa tunaagiza mapya kabisa wenye mshahara kama hu😵therwise uwe kichwani una mapungufu flani ya kuelewa uhusiano na thamani ya mshahara wako na unachotaka kununua.
Umetuangusha sana kijana....wamekuzidi hata wenye baiskeli.Ngoja kwanza tumtafute MDUDE CHADEMA
 
Hii ndo Jf bhna M53 hahhaaaa Utakuwa mhaya sio buree Na Ghorofa zako 2 duh!!! hngera
 
Kwa uandishi huu mtu atakayekushauri atakuwa anapoteza muda wake tu....
 
Back
Top Bottom