Hii Gari mnaionaje Wadau kwa Uzoefu wenu Maana watu Wanasema sana.

Hii Gari mnaionaje Wadau kwa Uzoefu wenu Maana watu Wanasema sana.

Nashukuru yote heri. Ila usiniite mhaya please

Wahaya ni watani zangu so nawajua vizuri ukute mtoa mada hata Punda wa kumbebea mzigo hana.
NOTE: Kumbebea mizigo,wakati yeye akisugua kongoro ardhini!!.
 

Ni wewe huyuhuyu?
 
.....Kwa asilimia 100% naamini huna hata passo ya million 4. Huna gari wewe na unaishi kwa shemeji au kwa wenzio.
 
Yes. Sometime napenda ku andika hivyo na wengine wasijione wapo peke yao.


Ni wewe huyuhuyu?
 
Kwa hapo ulipofikia unatakiwa umiliki Chopa na siyo hiyo Mikokoteni......
 
umeshahama kwa dada??
2019-05-04 09.06.56.png
 
Mkuu kwa kipato chako, ata ningekua na robo ya mshahara wako kwa mwezi ningechukua hizi ndude:

BMW X series (X5 F15 au X3 F25 BUT SIO X6 kimbia ilo gari halifai)

Land Cruiser J200 facelift mwaka 2015 hivi.

Discovery 4 au 3 Diesel.

Audi Q7

Kama Pickup Ford Ranger
 
Hadithi hadithi uwongo njoo utamu kolea.Kwa awamu hii hii ya 5???? WAHURUMIE WATU NA BANDO ZAO KAKA
 
Nyumba ya gorofa na ya kawida inamahusiano gani hapa pili mshahara wako unatuhusu nini tatu wewe ni limbukeni na nne tunaomba picha za gari zako na nyumba zako ili tuende sawa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna kitu hapa! Ushuzi tu..
 
Back
Top Bottom