Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DaaaaTafuta pesa wewe
Syo CRDB tu hata nbc wana recalculate wanarejesha.Habari?
Leo kwa nyakati tofauti nimeambiwa na watu wawili kuwa CRDB wamerejesha kiasi cha fedha kwa wateja walio na mikopo,na wamefanya hivyo baada ya kukokotoa mahesabu upya.Mwenye habari iliyokamilika kuhusu hili naomba anijuze.
Mkuu ushawahi kuishi Sri Lanka? Sri Lanka zamani ilikuwa inaitwa Ceylon na waingereza wenyeji wakaibalisha. Pia Taiwan ilikuwa inaitwa Famosa na Waingereza wakaibadilisha. Cambodia ilikuwa inaitwa Kampuchea wakaibalisha.Habari?
Leo kwa nyakati tofauti nimeambiwa na watu wawili kuwa CRDB wamerejesha kiasi cha fedha kwa wateja walio na mikopo,na wamefanya hivyo baada ya kukokotoa mahesabu upya.Mwenye habari iliyokamilika kuhusu hili naomba anijuze.
Matapeli wa bankabc walinirejeshea 480,000 walizonika bila hata kujaza mifom yao. Afisa wa losoni na mkuu wangu wa idara wakanipoza kwa laki 2 nilipowashirikisha wanangu wawili mmoja takukuru mkoa x akachek na wenzake wa wilaya nili, na tc fulan akachek tc wenzake wakatimba kwa afisa utumish direct na nisan lao.
Ndan ya nusu saa hela zote nikarudishiwa.
Hii bongo bila ujuaj unateseka sanan.
Kuwa wa kwanza kuu, mimi nitafuatia.Hivi HESLB kwa nini hamtaki kunirejeshea pesa yangu. niwapeleke mahakamani?
Mhhh!!,Hii ni mpya kwangu.Ndio Mimi nilikopa kwao,nikamaliza mkopo baada ya mwaka wakaniita wakanirudishia Kama 530000.
Kuna siku nimemuuliza jamaa yangu wa CRDB anasema kuna wakati mtu anaomba mkopo sasa katika ule mwezi wa kwanza makato yanaweza kuwa yametangulia kabla ya mtu kupata mkopo kwahiyo wakimaliza mkopo inakuwa kuna mwezi mmoja mtu alilipa extra inabidi wamrudishie ela yake.
Sijui ni scenario hii au ni tofaut
Mwenye details zaidi na kamilifu aelezee nn exactly kinarudishwa.