Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Nimeona hii taarifa katika mtandao wa twitter muda huu ila nashindwa kuamini hata kama ni maboresho.
Ni tweet ya Haki Ngowi.
Ni tweet ya Haki Ngowi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarifa ndio inasomeka hivyo.Maboreshoo mkuu
Sio ni katika taratibu za "kula kwa urefu wa kamba", wajipimie kwenye maeneo yao; mama anajua ila kasema wale kwa kiasi, wasivimbiwe!Kuna wahuni wale walosema Bwawa la JN, litachelewa maana mkandarasi Kuna uchimbaji alikosea
Huenda wahuni hao hao ndio wamerudi kwenye DARAJA Hilo
Yote Kwa yote, kuonyesha kwamba JPM hakufanya la maana [emoji1787][emoji1787]
Kwa bahati mbaya sana, Mwongozaji wa Filamu hii, Kichwani ni Mweupeee!!!.
Lilifunguliwa bila ya Mganga wa Kienyeji kulifanyia Tambiko hivyo vuteni Subira litambikiwe Kwanza kisha mtaruhusiwa na Mamlaka kuendelea Kulitumia.Nimeona hii taarifa katika mtandao wa twitter muda huu ila nashindwa kuamini hata kama ni maboresho.
Ni tweet ya Haki Ngowi.
Huezi elewa!&%#$Kuna wahuni wale walosema Bwawa la JN, litachelewa maana mkandarasi Kuna uchimbaji alikosea
Huenda wahuni hao hao ndio wamerudi kwenye DARAJA Hilo
Yote Kwa yote, kuonyesha kwamba JPM hakufanya la maana [emoji1787][emoji1787]
Baada ya hapo watahamia SGR, watahamia Daraja la sengerema, n.k
Hayo yatafanyika kuficha madhaifu na kushindwa kwao ,huku Gharama za Maisha zilipanda maradufu.
Kwa bahati mbaya sana, Mwongozaji wa Filamu hii, Kichwani ni Mweupeee!!!.
Kuna wahuni wale walosema Bwawa la JN, litachelewa maana mkandarasi Kuna uchimbaji alikosea
Huenda wahuni hao hao ndio wamerudi kwenye DARAJA Hilo
Yote Kwa yote, kuonyesha kwamba JPM hakufanya la maana [emoji1787][emoji1787]
Baada ya hapo watahamia SGR, watahamia Daraja la sengerema, n.k
Hayo yatafanyika kuficha madhaifu na kushindwa kwao ,huku Gharama za Maisha zilipanda maradufu.
Kwa bahati mbaya sana, Mwongozaji wa Filamu hii, Kichwani ni Mweupeee!!!.

https://www.tanroads.go.tz › news
Daraja la TANZANITE kudumu zaidi ya miaka 100 - Tanroads
18 Feb 2021 — MHANDISI Miradi wa Daraja jipya la Selander (TANZANITE) Mhandisi Rajab Manger, amesema mradi wa Daraja jipya la Selander umeanza utekelezaji ...
Wadau wahoji uhalali wa Daraja la Tanzanite kuwa bure huku la Kigamboni likiwekewa Tozo
Wakuu msichoke , hata kama kuna kesi ya Mbowe inayopora karibu kila sikio la mtu , au labda uchaguzi wa Spika , lakini kuna mambo mengine ni kama madogo hivi , lakini ni lazima yajadiliwe. Iweje mtu anayeenda kuchukua mihogo au embe mawazo na embe ng'ong'o kwenye shamba lake Kibada au...www.jamiiforums.com
Wafunge CCTVule mwenge pale juu unatolewa wanaweka tanzanite. navile vyuma wahuni walivyo fungua finafanyiwa replacement