Inawezekana! Si mama aliwaambia waondoe ule mwenge waweke Tanzanite? Labda ndiyo maboresho yenyewe?Nimeona hii taarifa katika mtandao wa twitter muda huu ila nashindwa kuamini hata kama ni maboresho.
Ni tweet ya Haki Ngowi.
Kwenye masuala ya uhandisi wa ujenzi wewe hujui chochote.bora ufiche ujinga wako tu.Magu alipiga, ndio maana mchwa wake wanalia upigaji ukianikwa, kwanza tulisusa kulizindua, ni vile tu team kuzimu ilitusishi, mabilioni yote hayo kwa daraja la hovyo hivyo
Acha upumbavuKwenye masuala ya uhandisi wa ujenzi wewe hujui chochote.bora ufiche ujinga wako tu.
Nenda kazikwe naye, ukarabati tu mpaka watembea kwa miguu wanazuiwa .....Hilo daraja ni hatari kwa usalama na matumizi, JPM alipiga nusu ya helaKuna wahuni wale walosema Bwawa la JN, litachelewa maana mkandarasi Kuna uchimbaji alikosea
Huenda wahuni hao hao ndio wamerudi kwenye DARAJA Hilo
Yote Kwa yote, kuonyesha kwamba JPM hakufanya la maana [emoji1787][emoji1787]
Baada ya hapo watahamia SGR, watahamia Daraja la sengerema, n.k
Hayo yatafanyika kuficha madhaifu na kushindwa kwao ,huku Gharama za Maisha zilipanda maradufu.
Kwa bahati mbaya sana, Mwongozaji wa Filamu hii, Kichwani ni Mweupeee!!!.
Ni mweupe kama aliyekuzaa tu.Kuna wahuni wale walosema Bwawa la JN, litachelewa maana mkandarasi Kuna uchimbaji alikosea
Huenda wahuni hao hao ndio wamerudi kwenye DARAJA Hilo
Yote Kwa yote, kuonyesha kwamba JPM hakufanya la maana [emoji1787][emoji1787]
Baada ya hapo watahamia SGR, watahamia Daraja la sengerema, n.k
Hayo yatafanyika kuficha madhaifu na kushindwa kwao ,huku Gharama za Maisha zilipanda maradufu.
Kwa bahati mbaya sana, Mwongozaji wa Filamu hii, Kichwani ni Mweupeee!!!.
Engineer ulitaka njia iwe na upana upi?Hili daraja, njia za waenda kwa miguu ni nyembamba sana....
Anyways, labda wanataka watoe ule mwenge
Kwani cctv ujaziona hapo darajani ....camera zipo tayariWafunge CCTV
Meter 2 kila upandeEngineer ulitaka njia iwe na upana upi?
At least ingekuwa inalingana na kadaraja ketu ka zamaniEngineer ulitaka njia iwe na upana upi?