Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Hii ishu haijakaa sawa. Sijui kwa nini imedumu hadi leo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umehusisha vipi hayo na chuki?Huwezi kufuta histori ya Nchi kwa chuki binafsi.
Kwa nini unasema chuki?Huwezi kufuta histori ya Nchi kwa chuki binafsi.
Na Shenzi nalo. Maana waarabu wanaita watu weusi zenji, nadhani Shenzi lilitoka huko. Lakini kwa kiasi maneno haya yanakubalika vizuri.Naunga mkono.
Iende sambamba na ukomo wa Ki-staha- arabu na Ki-Ungwana.
Twaweza tumia nene Makini kama mbadala wa hayo.
Mfano 'Siasa makini' au yule mwanasiasa ni mtu makini badala ya kumbagua, akiwa na jina la 'kisiwani' wanasema ni Mstaarabu akiwa na jina la ' bara' wanasema 'muungwana'
Kwa maoni yangu, nia maneno ya kibaguzi na yashapitwa na wakati.
Amani iwafikie
"Uhindini" au "Uzunguni" kwanini?Kwa nini unasema chuki?
Upo uwezekano huo. Kwani historia ya hilo neno linawezekana limetokea South East Asia. Kwa Wachina wa enzi hizo. Hao walikuwa wakifanya biashara na watu weusi au wazenji au wakutoka kisiwani ambao walikuwa ni wafanyabiashara kutoka Afrika enzi hizooooo. Sasa, wakati wa Ottoman empire ambao wana mahusiano ya karibu na Oman ambao ni waarabu, ndimo upo uwezekano wa wao kudakia hilo 'Shenzi' 'zenji' kama vile walivyokuwa wanawaita wenyeji wa Zanzibar ambao kwa Uhasilia walikuwa ni watu wa Kongo wa kabila la wangwana. Hapo basi!Na Shenzi nalo. Maana waarabu wanaita watu weusi zenji, nadhani Shenzi lilitoka huko. Lakini kwa kiasi maneno haya yanakubalika vizuri.
"Zanj" ni tofauti na Shenzi.Na Shenzi nalo. Maana waarabu wanaita watu weusi zenji, nadhani Shenzi lilitoka huko. Lakini kwa kiasi maneno haya yanakubalika vizuri.
Asili ya neno Shenzi ni ipi?"Zanj" ni tofauti na Shenzi.
Ni majina ya kipindi cha segregation ya maeneo ya watu kuishi kutokana na rangi zao."Uhindini" au "Uzunguni" kwanini?
Nadhani ni Wajerumani ndio waliliteta.Asili ya neno Shenzi ni ipi?
Mbona Ukraine kuna Mtaa wa Lumumba lakini huoni wakiufuta.Ni majina ya kipindi cha segregation ya maeneo ya watu kuishi kutokana na rangi zao.
Sasa Lumumba si jina la mtu!?Mbona Ukraine kuna Mtaa wa Lumumba lakini huoni wakiufuta.
Kwhiyo inabakia historia kwa kulienzi jina la Kibantu.Sasa Lumumba si jina la mtu!?