Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
- Thread starter
- #21
Hata bongo kuna Ufipa. mitaa kama Manyema, nk. Hii haina shidaKaribu Chinatown hapa NY
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata bongo kuna Ufipa. mitaa kama Manyema, nk. Hii haina shidaKaribu Chinatown hapa NY
Imhotep!!!!!!Mbona Ukraine kuna Mtaa wa Lumumba lakini huoni wakiufuta.
tatizo la wabongo chukiNaunga mkono.
Iende sambamba na ukomo wa Ki-staha- arabu na Ki-Ungwana.
Twaweza tumia nene Makini kama mbadala wa hayo.
Mfano 'Siasa makini' au yule mwanasiasa ni mtu makini badala ya kumbagua, akiwa na jina la 'kisiwani' wanasema ni Mstaarabu akiwa na jina la ' bara' wanasema 'muungwana'
Kwa maoni yangu, nia maneno ya kibaguzi na yashapitwa na wakati.
Amani iwafikie
baadhi ya miji wameianzisha wageni sisi babu zetu bado wako mafichoni wakitembea uchi leo sehemu hizo ziitwe uindini uarabuni ziitweje?Umehusisha vipi hayo na chuki?
wamewai kuishi sehemu hizo wakati huo babu zako wako mafichoni ulitaka sehemu hizo patwe jina la ukoo wako hovio"Uhindini" au "Uzunguni" kwanini?
zenji tafusili yake shenzi umepata wapi tafsili hii?Upo uwezekano huo. Kwani historia ya hilo neno linawezekana limetokea South East Asia. Kwa Wachina wa enzi hizo. Hao walikuwa wakifanya biashara na watu weusi na wazenji au wakutoka kisiwani ambao walikuwa ni wafanyabiashara kutoka Afrika enzi hizooooo. Sasa, wakati wa Ottoman empire ambao wana mahusiano ya karibu na Oman ambao ni waarabu, ndimo upo uwezekano wa wao kudakia hilo 'Shenzi' 'zenji' kama vile walivyokuwa wanawaita wenyeji wa Zanzibar ambao kwa Uhasilia walikuwa ni watu wa Kongo wa kabila la wangwana. Hapo basi!
tatizo la wabongo chuki
baadhi ya miji wameianzisha wageni sisi babu zetu bado wako mafichoni wakitembea uchi leo sehemu hizo ziitwe uindini uarabuni ziitweje?
wamewai kuishi sehemu hizo wakati huo babu zako wako mafichoni ulitaka sehemu hizo patwe jina la ukoo wako hovio
zenji tafusili yake shenzi umepata wapi tafsili hii?