Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
sawaPascal Mayala pamoja na kuwa mwanasheria kaivua nguo ofisi ya msajili, anasema, kwa ccm ni chama dola hata ikifanya makosa yoyote haiwezi kufutwa labda vyama vingine.
Sasa mtu kama uyu bado anataka nipitie makala zake nijifunze , nijifunze nini sasa wakati yeye mwenyewe anakili kwamba ccm ipo juu ya sheria