Hii haikubaliki, Msajili ifute CCM mara moja

sawa
 
Sehem nyingine kubeba watu kwenye malori kwamba unaona ni sawa, that's unaona pia ccm beba watu kwenye malori nayo ni sawa, tangu lini tz hii mafuso na malori yamealarishwa kuwa public transport, kama hakuna hualali huo basi kusafilisha watu kwa malori na mafuso ni makosa, na ccm inajua na inaendelea fanya makosa kusafirisha watu kwenye mafuso kuja kwenye mikutano yao
 
Hii haikubaliki msajili
 

Attachments

  • Screenshot_20231018-174434_Google.jpg
    95.6 KB · Views: 3
Hapa tunazungumzia chama , mambo ya mwajiri inatoka wapi,

Chama kipo pale unda serikali so kisipokuepo maana yake utumishi wa uma unakoma ? Mwajili ni mwananchi sio chama
Hawatakuelewa mkuu🤣🤣🤣🤣💺
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…