Hii haikubaliki tena,wapalestina Gaza wagombea chakula kujiokoa kufa kwa njaa

Waislam wanatangulizaga Islamaphobia ili kuepuka kukosolewa kutokana na mafundisho yao mapotofu

View: https://x.com/AmyMek/status/1721810329204846854?s=20
 
Waarabu wawakaribishe Waarabu wenzao
 
Unakumbuka watu walivyokufa njaa vita ya Biafra? UN wanasema hali ya Gaza ni mbaya. na iko karibu na total collapse.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Zama zinabadilika,, huwezi linganisha hiyo biafra war ya miaka ya 67s na vita ya gaza,, biafra misaada ya kibinaadamu haikuwepo, gaza ipo ila zayuni anazuia,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…