Hii hali inaniumiza sana

Nimekuelewa sana mkuu
 
Nawe cheat dawa ya moto n moto🤣
 
Sawa mkuu
 
Kumbe Ndio iko hivyo
 
Nikweli mkuu
 
Yaan bado upo nae?
Ngoja nikukumbushe tu kitu kimoja, mwanamke hacheat,mwanamke anapenda....yaan kiufupi nikitoka nje ya penzi lako niliyemwendea kumpa uchi nimempenda..... kwahiyo tafakari.
Sawa To yeye
 
Mie naomba kueleweshwa kidogo hapa
Hivi hili neno MBAKA linamaanisha MPAKA?
Yaani mfano nkisema Dar mpaka Moro au Dar MBAKA Moro kipi ni kiswahili fasaha hapo?
 
Hii Nimeipenda sana mkuu good advice to me Nashukuru
 
Aisee
 
Fimbo ya mbali haiui nyoka, utakaaje miezi miwili mbali na mkeo tena hapa hapa tu nchini?

Umeshindwa hata kuchomoka weekend moja kumfuata au yeye kukufuata? Umeyataka mwenyewe.
Yaani miezi 2 mtu unashindwa kuvumilia? What if mtu akiumwa miezi sita si utagongwa mpaka basi.
 
Fimbo ya mbali haiui nyoka, utakaaje miezi miwili mbali na mkeo tena hapa hapa tu nchini?

Umeshindwa hata kuchomoka weekend moja kumfuata au yeye kukufuata? Umeyataka mwenyewe.
Hiyo siyo sababu
Kuna wengine wako hapo hapo bila hata kusafiri ila wanachapiwa
Inategemea mtu na mtu
 
Hata Ambulance inalia huku inatimua ..ila wewe Binadam unaganda hapo kutafuta Nini ?

Apology accepted Access Denied...12B to 33B.
 
Yaan bado upo nae?
Ngoja nikukumbushe tu kitu kimoja, mwanamke hacheat,mwanamke anapenda....yaan kiufupi nikitoka nje ya penzi lako niliyemwendea kumpa uchi nimempenda..... kwahiyo tafakari.
Hii comment msiichukulie poa, best comment ever.
Hongera (To yeye)
 
Doh sema show za mkiwa mmelewa huwa tamu anakuwa ana jiachia sanaa show show ...mwanamke akicheat hamna kusamehe utakufa bure
 
Pole sana mzee baba ila you must be damned kuvumilia usaliti wa mwanamke in anyhow🤣!
Kumbuka mwanamke akienda kutiwa anaenda na nafsi yake kamilifu wala si kama sisi ambao tunaenda kwa nyege tu na nafsi zetu zipo kwa wake zetu.
 
Ili wakikosana tena akachepuke?

Apige chini malaya hio
 
Ni bora kumtema kuliko kuvumilia fake sorries 🤣🤣🤣 maana muendelezo upo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…