Hii hali inaniumiza sana

Hii hali inaniumiza sana

Najua unampenda sana huyo manzi.

Tafuta siku ambayo huendi kwenye mishemishe zako maybe leo Jmosi au kesho J2, tafuta muda ambao unajua muda huu n wa kupumzika I prefer usiku baada ya msosi mmekaa kitandani kutafuta usingizi.

Kaeni kitako, ongea yote yanayokuumiza na muonyeshe n kwa namna gn umeumia. Nae akuambie yote khs huo usaliti wake.
Uzuri wanawake tunaweza kucheza na akili zao ndio mana neno la Mungu linasema tuishi nao kwa akili japokuwa wanawake wana nguvu mno.

Atakachokujibu utakipima mwnyw hapo na kujua hatua ya kuifanya.

Na kwa kuwa unajua vile unampenda na huwezi kumuacha kwa sasa bc jikaze kumsamehe but next time Ndio iwe mwisho wenu.
Nimekuelewa sana mkuu
 
Habar wana jf,

Natumain mko salama wote ni wazima mungu anaendelea kutupigania.

Naomba niende kwenye point staki mambo mengi sababu siko sawa kiukweli napitia wakati mgumu bas tu.

Niko na mwanamke tupo kwenye mahusiano huu mwaka wa 3 sasa japo ups and downs ni nyingi sana ila tunasonga, kunakipindi nilisafiri kikazi kwenda mkoani kwa muda wa kama 2 months umbali ule ulianza kuleta shida maugonvi yakaanza kuwa mengi sana japo tulikuwa tunajaribu sana kuwekana sawa.

To cut a story short baada ya kurud niligundua kuwa kacheat sababu kila alipokua akikaa na mimi akawa kama anakitu anajutia kupitia yale maugonvi yetu na baada ya kumbananisha alilia sana na kukili kuwa nikweli na kusema yale maugonvi yetu alikua yanamvuruga akili so hiyo siku alikunywa sana.

Daah kiukweli niliumia sana wakuu baada kujua na ndio siku nilijua kuwa usaliti unaumiza sana hasa kwa mtu unaempenda sikutaka kuendelea tena kuwa karibu nae nilikaa mbali ila kwake ilikua ngumu sana kukubali wiki nzima yeye ni kulia tu na kujutia usaliti wake hali ilienda wiki nzima.

Kifupi yaliisha nikamsamehe maisha yakaendelea mbaka now sasa shida ni kwamba kinacho nitesa ni ile memory tu kuna kipindi inaibuka tu na kuanza kunitawala kichwani na kuni stress kisha kunisabishia maumivu makali.

Simchukii nampenda kama kawaida ila kuna muda ukipita ile memory inakuja kichwani kwamba Kwaiyo alienda kulala na mwanaume mwingine seriously hii kitu inanipa hard time sana wakuu inanipa maumivu makali sana japo staki kumwambia sababu nikimwambia namjua ataumia sana na kujistress na hatokua na amani kila akiwa na mimi na mimi hicho staki apitie nataka awe happy tu.

Ni kweli anajua nimesamehe na nikweli ila sijasahau najitahid sana mbaka nakua sawa nasahau ila kuna kipindi hali ya kukumbuka inajirudia tena naanza kupitia maumivu makali.

Leo niliamka vizuri na tukawa powa tu nikaenda kazini kipindi nipo kazini ile hali ikanijia aisee maumivu ni makali mbaka narud home nimeingia saa 3 usiku home nikajitahidi sana asijue chochote lakini hata nikimzuga vip huwa anajua kama siko sawa sjui Kwanini nimezuga kuwa niko na furaha kama nilivyo ondoka asubuh lakin nikashangaa ananiambia nahsi kama hauko sawa nini tatizo.

Kiukweli sikuwa sawa kweli moyoni nina maumivu ila nikimwangalia Natamani kumwambia nini napitia lakin najizuia ili nisimfanye aanze kujskia vibaya na kutokua na furaha.

Wakuu naomba msaada kwa ushauri wenu tu bas napitia wakati mgumu mbaka kuna muda nahsi kwenda kwa Therapist au cancellar labda nitapata kitu 😔😔 .

Karibu kwa ushauri wenu Mshana Jr na wengine wote nawategemea
Wale wakunisema Hapana nawaomba sababu kwa hali nilikuwa nayo na ninayopitia ukinisema unazidi kunivurga na kufanya kunipunguzia uwezo wa kufikir jins ya kutatua tatizo.
Nawe cheat dawa ya moto n moto🤣
 
Na itakutafuna hadi unaingia kaburini, fikiria mwanamke mpaka anaenda kwa mtu anavua chupi kwa hiari yake bila kubakwa, anapanua miguu anachomekwa, Inachomoka anairudishia tena huku akilia kimahaba kisha anarudi kwako kirahisi tu anaomba umsamehe hahaha! Mwanamke msaliti ni kumwacha na msaliti mwenzie uwe huru kaka.

Hatoacha kutompana huyo sababu kashajua udhaifu wako ni kumsamehe.

Wataalam wanaita "Bwege Mtozeni"
Sawa mkuu
 
Wenzako tunafumania mara kadhaa, na hatuna stress, we kuonjewa mara moja tu unaumia, mwanaume kamili haumizwi na mapenzi, inaonekana wewe huna hata mchepuko wa kuziba mapungufu ya mkeo, nchi bila chama cha upinzani haiendi, ungekua unacheat usingeumizwa na tendo la mkeo, maana angekua kama kasawazisha goli tu.
Kumbe Ndio iko hivyo
 
Ona sasa alivyomjinga,hivi unakubalije eti ndio nimechepuka,yaani mwanaume anaweza kusahau?yaani mi labda unifume kitandani na penyewe naweza kukataa.
My dear unazidi kujipunguzia siku za kuishi,unavyoumia hivo usidhani moyo uko salama,yale matundu yapo tu kuchovya kwingine ichukulie kawaida.Haya matundu yatawamaliza jamani
Nikweli mkuu
 
Yaan bado upo nae?
Ngoja nikukumbushe tu kitu kimoja, mwanamke hacheat,mwanamke anapenda....yaan kiufupi nikitoka nje ya penzi lako niliyemwendea kumpa uchi nimempenda..... kwahiyo tafakari.
Sawa To yeye
 
Habar wana jf,

Natumain mko salama wote ni wazima mungu anaendelea kutupigania.

Naomba niende kwenye point staki mambo mengi sababu siko sawa kiukweli napitia wakati mgumu bas tu.

Niko na mwanamke tupo kwenye mahusiano huu mwaka wa 3 sasa japo ups and downs ni nyingi sana ila tunasonga, kunakipindi nilisafiri kikazi kwenda mkoani kwa muda wa kama 2 months umbali ule ulianza kuleta shida maugonvi yakaanza kuwa mengi sana japo tulikuwa tunajaribu sana kuwekana sawa.

To cut a story short baada ya kurud niligundua kuwa kacheat sababu kila alipokua akikaa na mimi akawa kama anakitu anajutia kupitia yale maugonvi yetu na baada ya kumbananisha alilia sana na kukili kuwa nikweli na kusema yale maugonvi yetu alikua yanamvuruga akili so hiyo siku alikunywa sana.

Daah kiukweli niliumia sana wakuu baada kujua na ndio siku nilijua kuwa usaliti unaumiza sana hasa kwa mtu unaempenda sikutaka kuendelea tena kuwa karibu nae nilikaa mbali ila kwake ilikua ngumu sana kukubali wiki nzima yeye ni kulia tu na kujutia usaliti wake hali ilienda wiki nzima.

Kifupi yaliisha nikamsamehe maisha yakaendelea mbaka now sasa shida ni kwamba kinacho nitesa ni ile memory tu kuna kipindi inaibuka tu na kuanza kunitawala kichwani na kuni stress kisha kunisabishia maumivu makali.

Simchukii nampenda kama kawaida ila kuna muda ukipita ile memory inakuja kichwani kwamba Kwaiyo alienda kulala na mwanaume mwingine seriously hii kitu inanipa hard time sana wakuu inanipa maumivu makali sana japo staki kumwambia sababu nikimwambia namjua ataumia sana na kujistress na hatokua na amani kila akiwa na mimi na mimi hicho staki apitie nataka awe happy tu.

Ni kweli anajua nimesamehe na nikweli ila sijasahau najitahid sana mbaka nakua sawa nasahau ila kuna kipindi hali ya kukumbuka inajirudia tena naanza kupitia maumivu makali.

Leo niliamka vizuri na tukawa powa tu nikaenda kazini kipindi nipo kazini ile hali ikanijia aisee maumivu ni makali mbaka narud home nimeingia saa 3 usiku home nikajitahidi sana asijue chochote lakini hata nikimzuga vip huwa anajua kama siko sawa sjui Kwanini nimezuga kuwa niko na furaha kama nilivyo ondoka asubuh lakin nikashangaa ananiambia nahsi kama hauko sawa nini tatizo.

Kiukweli sikuwa sawa kweli moyoni nina maumivu ila nikimwangalia Natamani kumwambia nini napitia lakin najizuia ili nisimfanye aanze kujskia vibaya na kutokua na furaha.

Wakuu naomba msaada kwa ushauri wenu tu bas napitia wakati mgumu mbaka kuna muda nahsi kwenda kwa Therapist au cancellar labda nitapata kitu 😔😔 .

Karibu kwa ushauri wenu Mshana Jr na wengine wote nawategemea
Wale wakunisema Hapana nawaomba sababu kwa hali nilikuwa nayo na ninayopitia ukinisema unazidi kunivurga na kufanya kunipunguzia uwezo wa kufikir jins ya kutatua tatizo.
Mie naomba kueleweshwa kidogo hapa
Hivi hili neno MBAKA linamaanisha MPAKA?
Yaani mfano nkisema Dar mpaka Moro au Dar MBAKA Moro kipi ni kiswahili fasaha hapo?
 
Sina uzoefu na mahusiona ila natia neno mkuu.

Mkuu haujasamehe bado.

Ningekua ni mimi nisingemsamehe mapema hivyo, na hata nikitaka kumsamehe ningemsamehe kwa condition(s) maalumu kufukiwa.

Sasa kama Ningelikua ni mimi ningelikata rufaa... Tungerudi tena mezani kwa heshima na taadhima.

Tunaziweka tofauti zetu mezani, kila mmoja anajielezea honestly na kwa uwazi alianguka wapi, nini hapendi na nini anapenda alichukizwa na nini kiasi gani na kwanini. (Kiufupi kila mmoja anatema kinyongo alichonacho na namna anavyo feel).

Wakati hayo yote yanafanyika yafanyike katika hali ya usawa, yaani isionekane mmoja ndio mwenye makosa sana na mwingine anatumia kimao hicho kama kumtuhumu au kum'onya mwingine.

Ikiwezekana mnaweza mkazichukua zi 4R mkazitafsiri katika ngazi ya familia na mkazitumia.

Baada ya hatua hiyo tunaingia katika makubaliano ambayo yatazingatia kukidhi mahitaji (conditions to be met).

Ninaamini ups and downs mlizopitia hadi kuchepuka zimetengeneza/zimechafua fikra/emotions hasa huyo mwanamke dhidi yako. Hii ni kisaikolojia zaidi mambo kama haya counselling na msamaha wa maneno tu haitoshi.

Chukulia mfano computer imedukuliwa mathalani imeingiziwa virus, bila shaka itaanza ku-misbehave na mambo kama kupoteza taarifa, kuiba taarifa, kwenda kinyume na shuhuri/taratibu na matakwa yako kama ulivyo i-programe(iseti) na mwishowe inaweza ku-collapse kabisa. Kumbuka sizungumzii computer.

Sasa kwa matatizo ya kiufundi kama haya yanaitaji utatuzi wa kiufundi... Kuondoa virus/foctory reset/kusafisha.

Baada ya kila mmoja kutema nyongo na kuweka tofauti zetu mezani pale sasa hatua ya mwisho ni kusafisha hikra/factory reset. Kivipi ni hivi!! ;

Unaandaa mpango mkakati moto wa huo mpango au ukiwa na lengo la KUJENGA FAMILIA BORA NA ENDELEVU.

Tutasameheana endapo tutatimiza konditions hizi kwa uaminifu.

1)Kwa muda wa siku arobaini tutakua mlo mmoja tu punde baada ya jua kuzama na giza kutanda saa moja hadi saa mbili hapo kila siku.

2)Ndani ya huo muda wa siku arobaini hatutakutana kimwili wala kuendeleza fikra za tendo la ndoa kwa namna yeyote ile(kujichua).

3)Kuwa na fikra chanya (positivity ndani ya hicho kipindi cha siku arobaini, pia kutokuendekeza mambo ya anasa(starehe(ikiwemo kutumia simu kupitiliza)

Yakifikiwa haya kwa ufanisi mkubwa basi msamaha umepita kwa kila mmoja.
Hii Nimeipenda sana mkuu good advice to me Nashukuru
 
kifupi tu usishauriwe na wanakuambia upotezee umsamehe....hao ni viumbe dhaifu na kama wewe unajijua unaudhaifu fulani..ak.a chumbani au maumbile au chochote....unaweza kumsamehe ila utakufa kabla ya siku zako( haivumiliki kugongewa)piga chini futa file zote kichwani tafuta mwingine akusaliti ila inatakiwa wala usione wala kuhisi ukijua tu.....imeisha...utaishia kulewa hovyo au kujidhuru na mavitu mengine...
Aisee
 
Fimbo ya mbali haiui nyoka, utakaaje miezi miwili mbali na mkeo tena hapa hapa tu nchini?

Umeshindwa hata kuchomoka weekend moja kumfuata au yeye kukufuata? Umeyataka mwenyewe.
Yaani miezi 2 mtu unashindwa kuvumilia? What if mtu akiumwa miezi sita si utagongwa mpaka basi.
 
Fimbo ya mbali haiui nyoka, utakaaje miezi miwili mbali na mkeo tena hapa hapa tu nchini?

Umeshindwa hata kuchomoka weekend moja kumfuata au yeye kukufuata? Umeyataka mwenyewe.
Hiyo siyo sababu
Kuna wengine wako hapo hapo bila hata kusafiri ila wanachapiwa
Inategemea mtu na mtu
 
Hata Ambulance inalia huku inatimua ..ila wewe Binadam unaganda hapo kutafuta Nini ?

Apology accepted Access Denied...12B to 33B.
 
Yaan bado upo nae?
Ngoja nikukumbushe tu kitu kimoja, mwanamke hacheat,mwanamke anapenda....yaan kiufupi nikitoka nje ya penzi lako niliyemwendea kumpa uchi nimempenda..... kwahiyo tafakari.
Hii comment msiichukulie poa, best comment ever.
Hongera (To yeye)
 
Pole sana mzee baba ila you must be damned kuvumilia usaliti wa mwanamke in anyhow🤣!
Kumbuka mwanamke akienda kutiwa anaenda na nafsi yake kamilifu wala si kama sisi ambao tunaenda kwa nyege tu na nafsi zetu zipo kwa wake zetu.
 
'mbaka' wewe ni mtu wa Iringa/Mbeya eee

Anyway, usaliti kwa mwanamke sio jambo la kulipotezea mana mwanamke anachepuka na moyo wake ila kama una uhakika wa yeye kutokurudia makosa hayo na kama kweli alichepuka kutokana na ugomvi wenu bc jilazimishe kusahau tuu japokuwa ni kweli naelewa n vigumu.
Ili wakikosana tena akachepuke?

Apige chini malaya hio
 
Mwanamke anaekupenda hawezi kukusaliti hata iweje,nimesoma komenti za wadau wengi wanashauri uachane nae,na Mimi nakazia hapohapo achana na huyo mwanamke hakufai,yaan mwanamke akitoka nje ya ndoa hatoacha kutoka atatoka tu,hivi ujua wanawake Wana drama Sana anaweza kuomba msamaha lakini asiwe anamaanisha,afya ya moyo wako ni kitu muhimu sana,afu hiyo kitu hutokaa ukaisahau mpaka unaingia kaburini,kila heri kwenye maamuz yako
Ni bora kumtema kuliko kuvumilia fake sorries 🤣🤣🤣 maana muendelezo upo.
 
Back
Top Bottom