Hii hali inaniumiza sana

Inch 9 Inch 9 😂😂😂
Mwanamke ataachwa kwa uzizi... Lakini kuliko uteseke roho we mtoe Kwenye malengo yako, ishi nae kama dada wa kazi. Kidogo kidogo atachomoka mwenyewe...
 
Utapata ufumbuzi pale utakapojua kutofautisha Kati ya neno MPAKA na Mbaka
 
Simple sana mfungishe mizigo hadi Kwa huyo jamaa wakaendeleze walichokianzisha don't be too soft.

Songa mbele na maisha yako wanawake uwa wanabip kuona action. Mwanaume unatakiwa uwe na msimamo you have devil inside your house will swallow you soon
 
Simple sana mfungishe mizigo hadi Kwa huyo jamaa wakaendeleze walichokianzisha don't be too soft.

Songa mbele na maisha yako wanawake uwa wanabip kuona action. Mwanaume unatakiwa uwe na msimamo you have devil inside your house will swallow you soon
 
Bora hiyo kiongoz unakuwa hujui ila ya mkuu anajua na mlengwa kamwambia kwamba ilitokea hiyo ndio inaleta ukakasi
 
Miezi miwili hujagonga ila umegongewa!
Na umesamehe wakati roho inakuuma. Hujiheshimu hisia zako?
Huyo mwanamke amekushika pabaya.
 
Nilisikia msemo mmoja ukisema hivi “Mwanamke husamehe ila hasahau, mwanaume husahau ila hasamei”

Kama umeamua kusamehe basi hunabudi kusahau hapo utakuwa umetumia njia zote mbili kwa wakati mmoja.

Kitu ambacho anapaswa kufanya huyo mwanamke ni kukufanya usahau kilichotokea lakini hii inaanza na wewe kwa kupuuzia na kuruhusu mabadiliko ndani yako kwa maana uliamua kumsamehe.

Muhimu: Kataa Uzinzi.
 
Piga na chini hiyo Ng'ombe. Au una uhakika hamtakosana tena? Coz kama mlikosana akaenda kuliwa na mwengine, nini kitamzuia kwenda tena kuliwa pindi mlikosana tena?
 
Mkuu mi nahtaji amani moyo wangu unamaumivu pale tu nikikumbuka nilicho fanyiwa na nimtu niliekuwa namuamini sana ila leo nahtaji kumueleza kipi ninapitia ndani ya moyo wangu kiukweli
KAma unamuamini na kajutia kosa lake ..,msamehe... kwa ulimwengu wa leo hilo wala si ajabu!.. .. hiyo ndio silaha yako siku za mbele mkuu..
 
Pole sana mkuu najua kinachouma ni pale ukifikiria kua alikunjwa au alipigwa mbwa style kwa force ya kombora la kizayuni,kama unampenda samehe songa mbele kama huwezi kusamehe piga chini upate amani yako ya roho

USHAURI: KWA AMBAO HAMJAOA MSIOE NDOA NI UTAPELI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…