Hii hali inaniumiza sana

Asantee sana kaka nimekuelewa vizur ngoja nipambane
 
Unamshauri kama wewe ndo umemgongea.Sikia babu mambo ni mawili tu hapo kumwacha aende,Au tafuta sababu ya kumuumiza na yeye hiyo ndo itakuwa dawA ya wewe kujitibu Otherwise hutoweza kusahau hilo piga tukio kama ana dada ukiweza piga kama uwezi tafuta kitoto cha afu mbili kipangie au Oa kabisa na huyo dem sijui mke akikisha amejua,Hivi ndivyo inavyotakiwa kuWa Mura.
 
Hakuna changamoto ya usaliti kwenye mahusiano, ukweli wa hicho kinachoitwa changamoto ni kwamba, mwanamke ni malaya na mwanaume ni mjinga.

Ni ujinga kuvumilia disrespect, emotional blackmail, manipulations na mental torture ili uonekane mwema. Huyu jamaa angekua kaka au mdogo ako ungempa huo ushauri wa ki-nice guy?
 
Kwanza pole sana.. Lichukulie hilo kama changamoto Mojawapo kwenye mahusiano.. Kikubwa hapo ni huo upendo ulio nao kwake..jitahidi usife
Kuna sacrifice kubwa sana kwenye mapenzi ya kweli na msamaha.. Bila hii sacrifice msamaha hauna maana yoyote ile
Hiyo hali ikikutokea jitahidi kukumbuka yale mazuri yake kwako
Pale alipokushika mkono
Pale alipokunyanyua
Pale alipokufariji
Pale alipokukumbatia nknk
Jitahidi kukumbuka nyakati zenu za furaha
Asantee sana kaka nimekuelewa vizur ngoja nipambane
Mpende tu huyohuyo vumilia maana muda ni tiba (time heals) unaweza kumpiga chini ikawa kama umeruka ndogo na kukanyaga kubwa! Kuanza mahusiano mapya ni kamari
 
Mkuu sasa hapo najenga au nabomoa
 
Nikweli kaka unacho sema
 
Kwanza pole sana.. Lichukulie hilo kama changamoto Mojawapo kwenye mahusiano.. Kikubwa hapo ni huo upendo ulio nao kwake..jitahidi usife
Kuna sacrifice kubwa sana kwenye mapenzi ya kweli na msamaha.. Bila hii sacrifice msamaha hauna maana yoyote ile
Hiyo hali ikikutokea jitahidi kukumbuka yale mazuri yake kwako
Pale alipokushika mkono
Pale alipokunyanyua
Pale alipokufariji
Pale alipokukumbatia nknk
Jitahidi kukumbuka nyakati zenu za furaha
Asantee sana kaka nimekuelewa vizur ngoja nipambane
Mpende tu huyohuyo vumilia maana muda ni tiba (time heals)
Amenialika kwenye ushauri nimetimiza wajibu wangu.. Siwezi kamwe kumpa ushauri mbaya
 
Kwanza pole sana.. Lichukulie hilo kama changamoto Mojawapo kwenye mahusiano.. Kikubwa hapo ni huo upendo ulio nao kwake..jitahidi usife
Kuna sacrifice kubwa sana kwenye mapenzi ya kweli na msamaha.. Bila hii sacrifice msamaha hauna maana yoyote ile
Hiyo hali ikikutokea jitahidi kukumbuka yale mazuri yake kwako
Pale alipokushika mkono
Pale alipokunyanyua
Pale alipokufariji
Pale alipokukumbatia nknk
Jitahidi kukumbuka nyakati zenu za furaha
Asantee sana kaka nimekuelewa vizur ngoja nipambane
Mpende tu huyohuyo vumilia maana muda ni tiba (time heals)
Amenialika kwenye ushauri nimetimiza wajibu wangu.. Siwezi kamwe kumpa ushauri mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…