Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,506
- 2,518
ukitaka kujua kama binadamu tunanuka hata tuwe wasafi kiasi gani, kaa karibu na mtu ambaye anatoka katika race tofauti na yako.
miaka fulani niliwahi ku-date demu wa kizungu. licha usafi wote aliokuwanao na manukato mazuri yote aliyokuwa anajipulizia, bado alikuwa na kiharufu fulani hivi cha kukera ambacho watu weupe karibia wote wanacho.
kwa mwitikio huu, wadau hapo juu wako sahihi kabisa
sio hao tu, hata wahindi wananuka balaa.Mimi nimekaa na wachina dah mkuu zile nguruwe zinanuka balaa, sijawahi kukas na race tofauti na hao wachina nione na wao kama wananuka.
Wadau wote walio anza kuchangia hapo juu.Wa kina nan hao
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna dr. lecture flani alipat kusema ukitaka kujua wewe ni msafi kiasi gani weka vidole vyako makalioni then unuse.
Dawa nyingi za meno ni fake..hapa wakulaumiwa ni tbs yetu..Nashindwa kuelewa ni Ungonjwa au Uchafu
Asubuh tu unakutana na mtu ananuka Jasho kama fisi la porini na amevaa smart kabisa ila ukipishana nae unaweza kuzimia
Unakutana na mtu smart kapendeza ila ananuka Mdomo na Jasho balaa
Hii kitu Maofisini imezidi watu wananuka midomo na Jasho uwa najiuliza wana shida gani iseee ukiongea na mimi huku unanuka mdomo au jasho dah unanitoa kwenye concentration kabisa cz harufu inaninyima raha kabisa
Ukija mtaani ndo hatari kabisa watu wananuka midomo na jasho dah hivi ni ugonjwa au uchafu
Ukipanda daladala au mwendokasi ndo utaelewa isee harufu zilizopo huko ni hatari sio kunuka mdomo, Jasho plus na nywele kunuka dah
[emoji1621]Tuzingatie Usafi wa mwili na mavazi haipendezi umepiga suit yako then unatoa harufu ya mdomo na Jasho hiyo inashusha heshima sana inafikia stage unakimbiwa na watu wa maana
Uwa najiuliza kama unatoa harufu ya hivo vitu huko down kutakuwa na hali gani Dah
Usafi Muhimu
Hii kiboko.Kuna dr. lecture flani alipat kusema ukitaka kujua wewe ni msafi kiasi gani weka vidole vyako makalioni then unuse.
Bila shaka huu uzi una mahusiano na Ile Pilau ya IFM,Nashindwa kuelewa ni Ungonjwa au Uchafu
Asubuh tu unakutana na mtu ananuka Jasho kama fisi la porini na amevaa smart kabisa ila ukipishana nae unaweza kuzimia
Unakutana na mtu smart kapendeza ila ananuka Mdomo na Jasho balaa
Hii kitu Maofisini imezidi watu wananuka midomo na Jasho uwa najiuliza wana shida gani iseee ukiongea na mimi huku unanuka mdomo au jasho dah unanitoa kwenye concentration kabisa cz harufu inaninyima raha kabisa
Ukija mtaani ndo hatari kabisa watu wananuka midomo na jasho dah hivi ni ugonjwa au uchafu
Ukipanda daladala au mwendokasi ndo utaelewa isee harufu zilizopo huko ni hatari sio kunuka mdomo, Jasho plus na nywele kunuka dah
[emoji1621]Tuzingatie Usafi wa mwili na mavazi haipendezi umepiga suit yako then unatoa harufu ya mdomo na Jasho hiyo inashusha heshima sana inafikia stage unakimbiwa na watu wa maana
Uwa najiuliza kama unatoa harufu ya hivo vitu huko down kutakuwa na hali gani Dah
Usafi Muhimu
Makalioni au mkunduni?Kuna dr. lecture flani alipat kusema ukitaka kujua wewe ni msafi kiasi gani weka vidole vyako makalioni then unuse.
Hakuna kitu kama hicho watu waache uchafu aisee....! Mtu unakuta akicheka meno yamejaa ukungu, ulimi una utandu mweupee, makucha marefu yamejaa uchafu, mtu kama huyo unamteteaje? Tuache uchafu aseeWaswahili Wana msemo wao unasema.
LAKE MTU HALIMTAPISHI.
inawezekana hata wewe unanuka ila kwa kuwa NI wewe mwenyewe unaona poa.
Ndivyo kwa BINADAMU wote tulivyo.utamuona mwenzio ananuka ila harufu yako utaichukulia poa.
naomba ufafanuziVile vimavi vya ulimwengu wa roho vipi? Kila ukiingia mahali penye watu wengi harufu ya yai lililooza inasikika. Au unafuatwa mara kwa mara na wale mainzi makubwa ya chooni. Unajitahidi sana katika usafi ila yote hayo unayo.