mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Ungekuwa msafi usingekuwa unaenda chooni na majiHakuna kitu kama hicho watu waache uchafu aisee....! Mtu unakuta akicheka meno yamejaa ukungu, ulimi una utandu mweupee, makucha marefu yamejaa uchafu, mtu kama huyo unamteteaje? Tuache uchafu asee
Haujajibu swali la mtoa mada...."kwanini kuna watu wananuka"?...
Hapo kaongelea baadhi na si wote na huo ndiyo ukweli.
Harufu ya mtu mpaka itajwe ama iitwe "kunuka", ina maana imepita kiwango cha kawaida.
Majibu ya swali hili watokeze wataalamu wa tiba ya kinywa na meno, watatoa majibu yafaayo, maana kila jambo lazima liwe na sababu zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa jingaUngekuwa msafi usingekuwa unaenda chooni na maji
Vp ww ulishajaribu?? [emoji848]Kuna dr. lecture flani alipat kusema ukitaka kujua wewe ni msafi kiasi gani weka vidole vyako makalioni then unuse.
Hata sabuni ukipaka kwapani harufu haitokiWatu hawali matunda ya kutosha ili kusaidia mchakato wa ndani ya mwili,wanakunywa maji kidogo. Pia muhimu mtu kutumia deodorant kwapani badala yake watu wanatumia body spray kwapani
Ukilowa jasho inaanza kukutekenya kwa nini mtu asinunuwe deodorant zipo flavour kibao tu.Hata sabuni ukipaka kwapani harufu haitoki
Mimi nimekaa na wachina dah mkuu zile nguruwe zinanuka balaa, sijawahi kukas na race tofauti na hao wachina nione na wao kama wananuka.
Hahahahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
DuhUfafanuzi, "unalogwa unakuwa ni mtu wa kunuka tu" Kuna Binti alilogwa kila akiingia kwenye daladala watu wanashika pua. Amini usiamini, huo ndio ulimwengu wa roho, yakikupata utaamini. Kumbuka watu ni wengi ila binadamu ni wachache.
Yes.Watu wamezidi kuwa wachafu
Kama wewe ni wakike sawa ila kama ni gentleman ulipaswa umwambie mlengwa kuliko hiki umefanya ni umama.Nashindwa kuelewa ni Ungonjwa au Uchafu
Asubuh tu unakutana na mtu ananuka Jasho kama fisi la porini na amevaa smart kabisa ila ukipishana nae unaweza kuzimia
Unakutana na mtu smart kapendeza ila ananuka Mdomo na Jasho balaa
Hii kitu Maofisini imezidi watu wananuka midomo na Jasho uwa najiuliza wana shida gani iseee ukiongea na mimi huku unanuka mdomo au jasho dah unanitoa kwenye concentration kabisa cz harufu inaninyima raha kabisa
Ukija mtaani ndo hatari kabisa watu wananuka midomo na jasho dah hivi ni ugonjwa au uchafu
Ukipanda daladala au mwendokasi ndo utaelewa isee harufu zilizopo huko ni hatari sio kunuka mdomo, Jasho plus na nywele kunuka dah
[emoji1621]Tuzingatie Usafi wa mwili na mavazi haipendezi umepiga suit yako then unatoa harufu ya mdomo na Jasho hiyo inashusha heshima sana inafikia stage unakimbiwa na watu wa maana
Uwa najiuliza kama unatoa harufu ya hivo vitu huko down kutakuwa na hali gani Dah
Usafi Muhimu
Waswahili Wana msemo wao unasema.
LAKE MTU HALIMTAPISHI.
inawezekana hata wewe unanuka ila kwa kuwa NI wewe mwenyewe unaona poa.
Ndivyo kwa BINADAMU wote tulivyo.utamuona mwenzio ananuka ila harufu yako utaichukulia poa.
Kuna dr. lecture flani alipat kusema ukitaka kujua wewe ni msafi kiasi gani weka vidole vyako makalioni then unuse.
Mimi nahic ni kukaa muda mrefu bila kulaa...hili la kunuka mwli nafikir wataalam watakuja kulitolea ufafanuzi..ila yote tisa kumi binadamu wote tunanuku sema tumetofautiana tu viwango
Watu wanaoga sana na kupiga mswaki sana ila hizi ni sababu kuu kwa utafiti wangu.
1. Dawa za meno ndo chanzo cha kunuka midomo.
2. Chakula na vinywaji mtu alavyo ndo pia huchangia kunuka mwili.
Imeisha hiyo.
Hata wanaonuka wanajiamini ndo maana wanatoka kwenye nyumba zao na harufu zao! Wanajiamini sana