Hii hapa Air Tanzania ikipasua anga kuelekea Chato

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Hapa majuzi gazeti la Mwananchi liliripoti juu ya safari za anga kusishwa na shirika la ndege la Air Tanzania! nilileta uzi humu kuonesha jinsi Gazeti la Mwananchi limekuwa likichapisha habari za uongo lakini wapo wadau walinibishia kuwa sio kweli safari ziekufa.




Sasa Fatilia mwenyewe kupitia Flight radar Air Tanzania (Bombardier Q8-400) yenye usajili wa 5H-TCD ikipasua anga kutokea Dar es Salaam kuelekea Chato-Geita.

use
 
Mbona nimecheki kwenye Route za Air Tanzania sijaona hiyo route ya Chato kwa upande wa local flight ?

Route zilizopo ni pamoja na;
Arusha, DSm, Bukoba, Dodoma, Geita, Kigoma, Kilimanjaro, Mbeya, Mpanda, Mwanza, Songea, Tabora na Zanzibar
 
Mfugale Jr anasemaje kuhusu kuondoka kwa baba yake ghafla vile
 
Mbona nimecheki kwenye Route za Air Tanzania sijaona hiyo route ya Chato kwa upande wa local flight ?

Route zilizopo ni pamoja na;
Arusha, DSm, Bukoba, Dodoma, Geita, Kigoma, Kilimanjaro, Mbeya, Mpanda, Mwanza, Songea, Tabora na Zanzibar
Ndio maana nadai kapicha.
Hakuna wa kukaweka hapa mtandaoini?
 
Mkuu kuwa mkweli tu, umepanda ungo?
 
Mbona nimecheki kwenye Route za Air Tanzania sijaona hiyo route ya Chato kwa upande wa local flight ?

Route zilizopo ni pamoja na;
Arusha, DSm, Bukoba, Dodoma, Geita, Kigoma, Kilimanjaro, Mbeya, Mpanda, Mwanza, Songea, Tabora na Zanzibar
 
Siasa hizi Duuu ...mnaacha kupeleka ndege sehemu zenye uhitaji mnaendekeza siasa ....shame shame on u
 
Siasa hizi Duuu ...mnaacha kupeleka ndege sehemu zenye uhitaji mnaendekeza siasa ....shame shame on u
Aaah ndege inaenda kwa wiki mara 2 sijui mara 1 kwaiyo siyo issue, na hapo unapoona ikitua then inapakia inaenda mwenza. Haifanyi direct to Geita then irudi Dar.
 
Ndio maana nadai kapicha.
Hakuna wa kukaweka hapa mtandaoini?
Nimeona kuna mdau ameandika Chato Airport ni sawa na Geita Airport, nimeshindwa kumbishia maana sijawahi kupanda flight kushukia Geita wala hapo Chato hivyo siwezi kujua utofauti uliopo.

Itabidi next leave nifike huko Chato na Geita kwa Ujumla kujifunza mawili matatu.

Maana kuna mdau alinishawishi ninunue Uwanja Chato mwaka 2019, na ilibaki kidogo ninunue bila hata kufika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…