Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Ya kunguruYangu au ya Ndege?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kunguruYangu au ya Ndege?
Aaah ndege inaenda kwa wiki mara 2 sijui mara 1 kwaiyo siyo issue, na hapo unapoona ikitua then inapakia inaenda mwenza. Haifanyi direct to Geita then irudiSiasa hizi Duuu ...mnaacha kupeleka ndege sehemu zenye uhitaji mnaendekeza siasa ....shame shame on u
Nimeona kuna mdau ameandika Chato Airport ni sawa na Geita Airport, nimeshindwa kumbishia maana sijawahi kupanda flight kushukia Geita wala hapo Chato hivyo siwezi kujua utofauti uliopo.
Itabidi next leave nifike huko Chato na Geita kwa Ujumla kujifunza mawili matatu.
Maana kuna mdau alinishawishi ninunue Uwanja Chato mwaka 2019, na ilibaki kidogo ninunue bila hata kufika.
😂😂Ya kunguru
Thanks kushare uzoefuAaah ndege inaenda kwa wiki mara 2 sijui mara 1 kwaiyo siyo issue, na hapo unapoona ikitua then inapakia inaenda mwenza. Haifanyi direct to Geita then irudi
View attachment 2702087
Ni kweli
Na hili la Rais Suluhu kwenda kimya kimya Dubai lina ukweli?Sasa Fatilia mwenyewe kupitia Flight radar Air Tanzania (Bombardier Q8-400) yenye usajili wa 5H-TCD ikipasua anga kutokea Dar es Salaam kuelekea Chato-Geita.
Tuliza boli, mama Sa100 mwenyewe ataleta selfie!Hahaa jana nimeleta habari hapa JF kuwa ndege ya Rais 5H-ONE imeonekana kwenye Rada huko Dubai na baadae kuelekea saudia Arabia then ikaenda kutua Oman! vipi mlidai picha ikiwa Oman au Dubai?
Hivi DP Weldi hawajkiona kiwanja cha Ndege Chato, mwarabu ababatizwe nacho?Nimeona kuna mdau ameandika Chato Airport ni sawa na Geita Airport, nimeshindwa kumbishia maana sijawahi kupanda flight kushukia Geita wala hapo Chato hivyo siwezi kujua utofauti uliopo.
Itabidi next leave nifike huko Chato na Geita kwa Ujumla kujifunza mawili matatu.
Maana kuna mdau alinishawishi ninunue Uwanja Chato mwaka 2019, na ilibaki kidogo ninunue bila hata kufika.
Naona hapo kwenye AirNav inaonyesha kabisa ndege ya Rais ilikuwa landed.Hatuna ushahidi japokuwa ndege jana ilielekea Oman pia sasa hatujui ameenda kusalimia ndugu zake au lah. tunahisi tu ila uhakika utatolewa na Kurugenzi ya Rais Ikulu.
View attachment 2702116
🤣🤣🤣🤣Watu wanahaha kulinda legacy!!Hapa majuzi gazeti la Mwananchi liliripoti juu ya safari za anga kusishwa na shirika la ndege la Air Tanzania! nilileta uzi humu kuonesha jinsi Gazeti la Mwananchi limekuwa likichapisha habari za uongo lakini wapo wadau walinibishia kuwa sio kweli safari ziekufa.
View attachment 2702058
Sasa Fatilia mwenyewe kupitia Flight radar Air Tanzania (Bombardier Q8-400) yenye usajili wa 5H-TCD ikipasua anga kutokea Dar es Salaam kuelekea Chato-Geita.
View attachment 2702062
View attachment 2702064useView attachment 2702091View attachment 2702092
Hakuna sehemu katika hizo flight radar au AirNav ikatuonyesha idadi ya flight zinazotua kwenye uwanja husika?Aaah ndege inaenda kwa wiki mara 2 sijui mara 1 kwaiyo siyo issue, na hapo unapoona ikitua then inapakia inaenda mwenza. Haifanyi direct to Geita then irudi
Hahahaha....................unadhani watakubali kukodisha tena, hiyo labda baada ya uchaguzi mkuu 2025 😁Hivi DP Weldi hawajkiona kiwanja cha Ndege Chato, mwarabu ababatizwe nacho?
Mbona nimecheki kwenye Route za Air Tanzania sijaona hiyo route ya Chato kwa upande wa local flight ?
Route zilizopo ni pamoja na;
Arusha, DSm, Bukoba, Dodoma, Geita, Kigoma, Kilimanjaro, Mbeya, Mpanda, Mwanza, Songea, Tabora na Zanzibar
Air Tanzania pekeake ndiye anaenda Chato-Geita tangia kipindi cha JPM mpaka sasahivi! sehemu yakutaka kujua marangapi inaenda kwa week ni kwenye website ya ATCL tu! naweza kukuthibitishia kama haifanyi direct toka Dar to Geita kisha kurejea kwa kukuletea ata safari ya leo ya hiyo ndege cos ishatua Mwanza now toka Geita na imeshasajili safari ya kurudi Dar es Salaam.Hakuna sehemu katika hizo flight radar au AirNav ikatuonyesha idadi ya flight zinazotua kwenye uwanja husika?
Hii ya kusema sijui mara 2 or 1 inakuwa HAINA UHAKIKA.
Shukrani kwa taarifa MkuuNi Geita na sio CHATO ukifanya Booking andika Geita Airport na so CHATO Route ipo na nadhani ni mara 2 kwa wiki