Hii hapa Air Tanzania ikipasua anga kuelekea Chato

Hii hapa Air Tanzania ikipasua anga kuelekea Chato

Siasa hizi Duuu ...mnaacha kupeleka ndege sehemu zenye uhitaji mnaendekeza siasa ....shame shame on u
Aaah ndege inaenda kwa wiki mara 2 sijui mara 1 kwaiyo siyo issue, na hapo unapoona ikitua then inapakia inaenda mwenza. Haifanyi direct to Geita then irudi
Nimeona kuna mdau ameandika Chato Airport ni sawa na Geita Airport, nimeshindwa kumbishia maana sijawahi kupanda flight kushukia Geita wala hapo Chato hivyo siwezi kujua utofauti uliopo.

Itabidi next leave nifike huko Chato na Geita kwa Ujumla kujifunza mawili matatu.

Maana kuna mdau alinishawishi ninunue Uwanja Chato mwaka 2019, na ilibaki kidogo ninunue bila hata kufika.
Screenshot_2023-07-29-14-02-56-31_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg

Ni kweli
 
Sasa Fatilia mwenyewe kupitia Flight radar Air Tanzania (Bombardier Q8-400) yenye usajili wa 5H-TCD ikipasua anga kutokea Dar es Salaam kuelekea Chato-Geita.
Na hili la Rais Suluhu kwenda kimya kimya Dubai lina ukweli?
 
Nimeona kuna mdau ameandika Chato Airport ni sawa na Geita Airport, nimeshindwa kumbishia maana sijawahi kupanda flight kushukia Geita wala hapo Chato hivyo siwezi kujua utofauti uliopo.

Itabidi next leave nifike huko Chato na Geita kwa Ujumla kujifunza mawili matatu.

Maana kuna mdau alinishawishi ninunue Uwanja Chato mwaka 2019, na ilibaki kidogo ninunue bila hata kufika.
Hivi DP Weldi hawajkiona kiwanja cha Ndege Chato, mwarabu ababatizwe nacho?
 
Tuliza boli, mama Sa100 mwenyewe ataleta selfie!
Labda kama ingetangazwa mapema! lakini kwa jinsi hali ilivyo hawezi kutangaza! Na ndege yake ilianda Oman just Imagine na huku ametembelea mjomba wake.
Screenshot (18).png
 
Na hili la Rais Suluhu kwenda kimya kimya Dubai lina ukweli?

Hatuna ushahidi japokuwa ndege jana ilielekea Oman pia sasa hatujui ameenda kusalimia ndugu zake au lah. tunahisi tu ila uhakika utatolewa na Kurugenzi ya Rais Ikulu.
Screenshot (18).png
 
Hatuna ushahidi japokuwa ndege jana ilielekea Oman pia sasa hatujui ameenda kusalimia ndugu zake au lah. tunahisi tu ila uhakika utatolewa na Kurugenzi ya Rais Ikulu.
View attachment 2702116
Naona hapo kwenye AirNav inaonyesha kabisa ndege ya Rais ilikuwa landed.
Hiyo iliyoenda chato inawezekana nayo tuangalie kama ilikuwa landed?
 
Hata Lissu ataenda Chato kwa Air Tanzania kumuombea Magufuli
 
Hapa majuzi gazeti la Mwananchi liliripoti juu ya safari za anga kusishwa na shirika la ndege la Air Tanzania! nilileta uzi humu kuonesha jinsi Gazeti la Mwananchi limekuwa likichapisha habari za uongo lakini wapo wadau walinibishia kuwa sio kweli safari ziekufa.


View attachment 2702058

Sasa Fatilia mwenyewe kupitia Flight radar Air Tanzania (Bombardier Q8-400) yenye usajili wa 5H-TCD ikipasua anga kutokea Dar es Salaam kuelekea Chato-Geita.
View attachment 2702062
View attachment 2702064useView attachment 2702091View attachment 2702092
🤣🤣🤣🤣Watu wanahaha kulinda legacy!!
 
Aaah ndege inaenda kwa wiki mara 2 sijui mara 1 kwaiyo siyo issue, na hapo unapoona ikitua then inapakia inaenda mwenza. Haifanyi direct to Geita then irudi
Hakuna sehemu katika hizo flight radar au AirNav ikatuonyesha idadi ya flight zinazotua kwenye uwanja husika?
Hii ya kusema sijui mara 2 or 1 inakuwa HAINA UHAKIKA.
 
Ni Geita na sio CHATO ukifanya Booking andika Geita Airport na so CHATO Route ipo na nadhani ni mara 2 kwa wiki
Mbona nimecheki kwenye Route za Air Tanzania sijaona hiyo route ya Chato kwa upande wa local flight ?

Route zilizopo ni pamoja na;
Arusha, DSm, Bukoba, Dodoma, Geita, Kigoma, Kilimanjaro, Mbeya, Mpanda, Mwanza, Songea, Tabora na Zanzibar
 
Hakuna sehemu katika hizo flight radar au AirNav ikatuonyesha idadi ya flight zinazotua kwenye uwanja husika?
Hii ya kusema sijui mara 2 or 1 inakuwa HAINA UHAKIKA.
Air Tanzania pekeake ndiye anaenda Chato-Geita tangia kipindi cha JPM mpaka sasahivi! sehemu yakutaka kujua marangapi inaenda kwa week ni kwenye website ya ATCL tu! naweza kukuthibitishia kama haifanyi direct toka Dar to Geita kisha kurejea kwa kukuletea ata safari ya leo ya hiyo ndege cos ishatua Mwanza now toka Geita na imeshasajili safari ya kurudi Dar es Salaam.
Screenshot (20).png
 
Back
Top Bottom