Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii Tumeileta kwa ajili ya Kuweka Kumbukumbu sawa kwa Wadau wa JF na Wengineo
Mungu Ibariki Chadema
Mungu Ibariki Chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii team sehemu kubwa iliingia kwa kuchafua wengine labda waombe msamaha la sivyo laana itawatafuna.Hii Tumeileta kwa ajili ya Kuweka Kumbukumbu sawa kwa Wadau wa JF na Wengineo
View attachment 3224699
Mungu Ibariki Chadema
mashetani katika ubora wao wala rushwa lissu alishagasema sasa kuna jipya lipi hapo?Hii Tumeileta kwa ajili ya Kuweka Kumbukumbu sawa kwa Wadau wa JF na Wengineo
View attachment 3224699
Mungu Ibariki Chadema
Laana yako haina madhara yoyote kwa chamaHii team sehemu kubwa iliingia kwa kuchafua wengine labda waombe msamaha la sivyo laana itawatafuna.
Sasa unalia au unalalamika?mashetani katika ubora wao wala rushwa lissu alishagasema sasa kuna jipya lipi hapo?
Hapana, Anayo hojaLaana yako haina madhara yoyote kwa chama
Mchaga kabaki mmoja tuHii Tumeileta kwa ajili ya Kuweka Kumbukumbu sawa kwa Wadau wa JF na Wengineo
View attachment 3224699
Mungu Ibariki Chadema
Kwani Wachaga hawatakiwi?Mchaga kabaki mmoja tu
Timu ya wala rushwa!Hii Tumeileta kwa ajili ya Kuweka Kumbukumbu sawa kwa Wadau wa JF na Wengineo
View attachment 3224699
Mungu Ibariki Chadema
Hii Tumeileta kwa ajili ya Kuweka Kumbukumbu sawa kwa Wadau wa JF na Wengineo
View attachment 3224699
Mungu Ibariki Chadema
Wangeondoka na MstaafishwaKwani Wachaga hawatakiwi?
HayaWangeondoka na Mstaafishwa
Kuna mjinga mwingine humu anasema walichofanya uongozi mpya ni mapinduzi, kuna watu bado hawaamini kuwa tapeli lao limekataliwa kwenye sanduku la kura.Laana yako haina madhara yoyote kwa chama
Hakuna kitu kama hicho kubalini TAL ndo mwenyekitiHii team sehemu kubwa iliingia kwa kuchafua wengine labda waombe msamaha la sivyo laana itawatafuna.
Tulidhani lisu ni muumini wa Tanganyika angebadili uelekeo na kuondoa wazenji wote ili Zanzibar pawe na tawi tu la chademaHii Tumeileta kwa ajili ya Kuweka Kumbukumbu sawa kwa Wadau wa JF na Wengineo
View attachment 3224699
Mungu Ibariki Chadema
Asante kwa TaarifaAmani Golugwa anaandaliwa kumrithi Mnyika.
Anua matangaHii team sehemu kubwa iliingia kwa kuchafua wengine labda waombe msamaha la sivyo laana itawatafuna.
WeeeeeTulidhani lisu ni muumini wa Tanganyika angebadili uelekeo na kuondoa wazenji wote ili Zanzibar pawe na tawi tu la chadema