Hii hapa ndio Timu Mpya ya uongozi wa Chadema Kitaifa

Hii hapa ndio Timu Mpya ya uongozi wa Chadema Kitaifa

Hii Tumeileta kwa ajili ya Kuweka Kumbukumbu sawa kwa Wadau wa JF na Wengineo

View attachment 3224699

Mungu Ibariki Chadema
CHADEMA nawakubali sn lakini ujinga wenu wa kujiita waheshimiwa kujiinua mbele ya wananchi huwa mnanikwaza sn, maanake mkipewa nchi mtaanza kujiita watukufu, CCM pamoja na upumbavu wao lakini wanaitana ndugu, nyie mnashindwa nini? Ndugu au Kamanda
 
CHADEMA nawakubali sn lakini ujinga wenu wa kujiita waheshimiwa kujiinua mbele ya wananchi huwa mnanikwaza sn, maanake mkipewa nchi mtaanza kujiita watukufu, CCM pamoja na upumbavu wao lakini wanaitana ndugu, nyie mnashindwa nini? Ndugu au Kamanda
Hoja yako imepokelewa
 
CHADEMA nawakubali sn lakini ujinga wenu wa kujiita waheshimiwa kujiinua mbele ya wananchi huwa mnanikwaza sn, maanake mkipewa nchi mtaanza kujiita watukufu, CCM pamoja na upumbavu wao lakini wanaitana ndugu, nyie mnashindwa nini? Ndugu au Kamanda
Kamanda wakati hata manati hawawezi tumia?
 
CHADEMA nawakubali sn lakini ujinga wenu wa kujiita waheshimiwa kujiinua mbele ya wananchi huwa mnanikwaza sn, maanake mkipewa nchi mtaanza kujiita watukufu, CCM pamoja na upumbavu wao lakini wanaitana ndugu, nyie mnashindwa nini? Ndugu au Kamanda
neno ndugu iliondoka na nyerere ccm wote wanaitana mheshimiwa
 
Back
Top Bottom