Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwakomboa watanzaniaChadema ni mpango wa Mungu.
CHADEMA nawakubali sn lakini ujinga wenu wa kujiita waheshimiwa kujiinua mbele ya wananchi huwa mnanikwaza sn, maanake mkipewa nchi mtaanza kujiita watukufu, CCM pamoja na upumbavu wao lakini wanaitana ndugu, nyie mnashindwa nini? Ndugu au KamandaHii Tumeileta kwa ajili ya Kuweka Kumbukumbu sawa kwa Wadau wa JF na Wengineo
View attachment 3224699
Mungu Ibariki Chadema
HakikaHawa Ndiyo Watakabidhiwa Tanzania, October 2025
Hoja yako imepokelewaCHADEMA nawakubali sn lakini ujinga wenu wa kujiita waheshimiwa kujiinua mbele ya wananchi huwa mnanikwaza sn, maanake mkipewa nchi mtaanza kujiita watukufu, CCM pamoja na upumbavu wao lakini wanaitana ndugu, nyie mnashindwa nini? Ndugu au Kamanda
Tapeli linazuga Dubenga soo ipoeKuna mjinga mwingine humu anasema walichofanya uongozi mpya ni mapinduzi, kuna watu bado hawaamini kuwa tapeli lao limekataliwa kwenye sanduku la kura.
Alipata kura 1..ODERO mbona hayupo hapo?
Apewe viti maalumAlipata kura 1..
Mnyika bado yupo sana in fact ndio most original chadema kuliko wote hapo juu. Aliingia chadema kabla ya Lissu, Heche etc na amekua chadema maisha yake yote. So ndio future Chairman na presidential candidate.Amani Golugwa anaandaliwa kumrithi Mnyika.
Yaani kwa nini mnapenda kujiita mheshimiwa? Ili iwe nini?Hii Tumeileta kwa ajili ya Kuweka Kumbukumbu sawa kwa Wadau wa JF na Wengineo
View attachment 3224699
Mungu Ibariki Chadema
Timu ya malofa watupuHii team sehemu kubwa iliingia kwa kuchafua wengine labda waombe msamaha la sivyo laana itawatafuna.
Ule upumbavu wa CCM wa UDINI, UKANDA, Uchawa, umeishia hapoHii Tumeileta kwa ajili ya Kuweka Kumbukumbu sawa kwa Wadau wa JF na Wengineo
View attachment 3224699
Mungu Ibariki Chadema
Chadema ilaaniweHii Tumeileta kwa ajili ya Kuweka Kumbukumbu sawa kwa Wadau wa JF na Wengineo
View attachment 3224699
Mungu Ibariki Chadema
Chadema ilaaniweHii Tumeileta kwa ajili ya Kuweka Kumbukumbu sawa kwa Wadau wa JF na Wengineo
View attachment 3224699
Mungu Ibariki Chadema
Mzee Mbowe pale kaacha kirusi kimoja hatarii,Lissu kiondoe mapema kabisaHii Tumeileta kwa ajili ya Kuweka Kumbukumbu sawa kwa Wadau wa JF na Wengineo
View attachment 3224699
Mungu Ibariki Chadema
Kamanda wakati hata manati hawawezi tumia?CHADEMA nawakubali sn lakini ujinga wenu wa kujiita waheshimiwa kujiinua mbele ya wananchi huwa mnanikwaza sn, maanake mkipewa nchi mtaanza kujiita watukufu, CCM pamoja na upumbavu wao lakini wanaitana ndugu, nyie mnashindwa nini? Ndugu au Kamanda
kama alivyo nchimbi kwa samia,samia wamemweka tu kivuli kwa mudaAmani Golugwa anaandaliwa kumrithi Mnyika.
neno ndugu iliondoka na nyerere ccm wote wanaitana mheshimiwaCHADEMA nawakubali sn lakini ujinga wenu wa kujiita waheshimiwa kujiinua mbele ya wananchi huwa mnanikwaza sn, maanake mkipewa nchi mtaanza kujiita watukufu, CCM pamoja na upumbavu wao lakini wanaitana ndugu, nyie mnashindwa nini? Ndugu au Kamanda