Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
imekaa kushindwa kirahisi sana kitaifa 🐒Hii Tumeileta kwa ajili ya Kuweka Kumbukumbu sawa kwa Wadau wa JF na Wengineo
View attachment 3224699
Mungu Ibariki Chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
imekaa kushindwa kirahisi sana kitaifa 🐒Hii Tumeileta kwa ajili ya Kuweka Kumbukumbu sawa kwa Wadau wa JF na Wengineo
View attachment 3224699
Mungu Ibariki Chadema
Tumekoma mkuu, hatutajiita hivyo tenaYaani kwa nini mnapenda kujiita mheshimiwa? Ili iwe nini?
Hizo laana mbona huwa hazifiki mahali? Kama kuchafuana pande zote walirushiana maneno mwishowe wajumbe wakaamua yupi ana faaHii team sehemu kubwa iliingia kwa kuchafua wengine labda waombe msamaha la sivyo laana itawatafuna.
Nakuelewa sana mkuuSIIPENDI, ALL ARE POWER MONGERS OF THE HIGHEST DEGREE PARTICULARLY, MWENYEKTI......ALIMBAGAZA, ALIMTUKANA, ALIMKEBEHI, ALIMDHALILISHA MBOWE SANA.
Mbona mkuu unajipendekeza kwa hao haoHawa watu ni Muhimu sana katika harakati za ukombozi wa taifa hili lililofungwa katika minyororo ya mkoloni chama dola, ni miongoni mwa watanzania wachache waliokataa kuwa chawa na kujipendekeza Kwa wakoloni weusi tulio nao, Mungu awabariki katika harakati zao za kulikomboa taifa hili
Nafikiri kuwa na Succession plan ni kitu muhimu sana pia!Amani Golugwa anaandaliwa kumrithi Mnyika.
Hakika hili lizingatiwe kwa kweli, uheshimiwa unachochea ufalme nafikiri! 😄CHADEMA nawakubali sn lakini ujinga wenu wa kujiita waheshimiwa kujiinua mbele ya wananchi huwa mnanikwaza sn, maanake mkipewa nchi mtaanza kujiita watukufu, CCM pamoja na upumbavu wao lakini wanaitana ndugu, nyie mnashindwa nini? Ndugu au Kamanda
timu ya wabangaizajiTimu ya malofa watupu
Hawataweza ipeleka Chadema popote hao
Timu yote hakuna tajiri hata mmoja
sasa ni zamu ya saa100 kufanyiwaLisu alichomfanyia Mbowe sio demokrasia ni unyama na umafia wa hali ya juu
Hawezi siasa chafu impe uraisi sahausasa ni zamu ya saa100
Sijajipendekeza mkuu hii nchi inahitaji upinzani ili CCM isizubae au kulega legaMbona mkuu unajipendekeza kwa hao hao
Pole kwa maumivu mkuu.Hii team sehemu kubwa iliingia kwa kuchafua wengine labda waombe msamaha la sivyo laana itawatafuna.
Tafuteni namna ya kuwaaminisha wananchi kuwa nyie ni tofauti na waheshimiwa. Anzeni na mnavyoitana.Tumekoma mkuu, hatutajiita hivyo tena
Wachaga wako wangapi?na wakati wa mbowe walikuwepo wangapi?Hii Tumeileta kwa ajili ya Kuweka Kumbukumbu sawa kwa Wadau wa JF na Wengineo
View attachment 3224699
Mungu Ibariki Chadema
Hilo mbona linawagharimu!!utafkiri hawapo,waliingia vibaya hawakujua wanajitenezea mabaya.Lisu anasema hawajawahi kukosana na Mbowe,sasa hao waliotaka kuwasuluhisha walienda kufanya nini hao viongozi wa dini.Jamaa wamechukua gari wasilojua kuliendesha.Hii team sehemu kubwa iliingia kwa kuchafua wengine labda waombe msamaha la sivyo laana itawatafuna.
Hivi hawa waliteuliwa?Wachaga wako wangapi?na wakati wa mbowe walikuwepo wangapi?
Wafute huo ujingaHakika hili lizingatiwe kwa kweli, uheshimiwa unachochea ufalme nafikiri! 😄
Isije ikawa account yako imekuwa hacked, hivyo unaona picha za wanaccm ndio maana unatoa comment zisizoendana na picha tunazoona sisi.Timu ya wala rushwa!