Hii hapa ndio Timu Mpya ya uongozi wa Chadema Kitaifa

Hawa watu ni Muhimu sana katika harakati za ukombozi wa taifa hili lililofungwa katika minyororo ya mkoloni chama dola, ni miongoni mwa watanzania wachache waliokataa kuwa chawa na kujipendekeza Kwa wakoloni weusi tulio nao, Mungu awabariki katika harakati zao za kulikomboa taifa hili
Hii Tumeileta kwa ajili ya Kuweka Kumbukumbu sawa kwa Wadau wa JF na Wengineo

View attachment 3224699

Mungu Ibariki Chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…