MR LINKO
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,034
- 3,526
Habari mwenye kujua forbes wanaangalia nini naomba ufafanuziii hiii habari sijaelewa kabisa
Jarida la Forbes imetoa orodha ya Wasanii wa muziki wenye utajiri mkubwa Afrika Mashariki (East Africa) kwa mwaka 2023.
1. Bobi Wine (Uganda) : Dola milioni (9)
2. Diamond Platinumz (Tanzania): Dola milioni (8.2)
3. Jose Chameleon (Uganda) : Dola milioni (????.
4. Akothee (Kenya) : Dola milioni (7.6)
5. Professor Jay (Tanzania). Dola milioni (7.5).
6. Ali Kiba (Tanzania) : Dola milioni (7.2).
7. Jaguar (Kenya): Dola milioni (7).
8. Harmonize (Tanzania) : Dola milioni (5.9).
9. Sauti Sol (Kenya) : Dola milioni (5.????
10. Bebe Cool (Uganda) : Dola milioni (5.62).
11. Ragga Deer (Uganda) : Dola milioni
NB: nawasilisha kwenu.
Jarida la Forbes imetoa orodha ya Wasanii wa muziki wenye utajiri mkubwa Afrika Mashariki (East Africa) kwa mwaka 2023.
1. Bobi Wine (Uganda) : Dola milioni (9)
2. Diamond Platinumz (Tanzania): Dola milioni (8.2)
3. Jose Chameleon (Uganda) : Dola milioni (????.
4. Akothee (Kenya) : Dola milioni (7.6)
5. Professor Jay (Tanzania). Dola milioni (7.5).
6. Ali Kiba (Tanzania) : Dola milioni (7.2).
7. Jaguar (Kenya): Dola milioni (7).
8. Harmonize (Tanzania) : Dola milioni (5.9).
9. Sauti Sol (Kenya) : Dola milioni (5.????
10. Bebe Cool (Uganda) : Dola milioni (5.62).
11. Ragga Deer (Uganda) : Dola milioni
NB: nawasilisha kwenu.