Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Twende hivi hivi.Kitu kingine nilichokiona kwenye utawala uliopita ni wananchi kukosa kabisa Uhuru , Amani , furaha na Upendo , kiasi cha kila mtu kuona mwenzake ni Adui .
Kumbe Uhuru , Upendo na Amani vinazalisha Furaha .
Hebu angalia Picha hii halafu toa maoni yako .
View attachment 2639634
Jeshi lenye uadilifu kama la Ulaya.Hii ndiyo Police Services inayodaiwa kutiwa katika katiba mpya ili jeshi la Polisi litimize wajibu wake bila upendeleo wala kuburuzwa kutumika vibaya dhidi ya raia.
Mwanzo mzuri kwa jeshi la Polisi, muhimu hili jambo litiwe ktk katiba tuepukane na yale ya awamu ya 5 kutumia jeshi la polisi kuwa kama jeshi binafsi la chama fulani - paramilitary
Tunajua jeshi la polisi lilikuwa halipendi kutumika vibaya lakini katiba mbovu iliyochukua hulka za kutoka jeshi la polisi la mkoloni inawabana. Katiba mpya itafanya polisi wetu kuwa jeshi la kulinda mali na usalama wa raia badala ya kutumika kama jeshi binafsi la watawala.
Tazama salute ya askari polisi huyu iliyoambatana na sura ya furaha anayejisikia ametua mzigo mzito wa lawama waliobebeshwa na CCM.
Ni ushamba tu wa watu kuamini kuwa kuna watu maalum wa kupigiwa salute.Unajua wanaotakiwa kupigiwa salute..?
Usimchukulie poa mwenzako kila mda anaitwa ikulu kuongea na Mama,..unajua wanaongea nn?,..je wewe ushawahi nusa hata mlango wa ofisi ya waziri yoyote tz?Nimesikitika sana
Ni ushamba tu wa watu kuamini kuwa kuna watu maalum wa kupigiwa salute
Polisi iliyostarabika inajua ni i cha kufanya.Ni ushamba tu wa watu kuamini kuwa kuna watu maalum wa kupigiwa salute.
Nikiwa Kenya ndani ya gari yenye registration namba za Tanzania. Askari polisi alinisimamisha, akapiga salute, kisha akaniuliza.
Nikiwa Switzerland, askari polisi alikuja akapiga salute, kisha akaniuliza - English, Germany, French. Nikamjibu, English. Akaniuliza, where are you coming from. Nikamjibu, kisha akaniambia, 'sir, may I see your passport'.
Salute, ndiyo uamkiaji rasmi wa Askari akiwa katika vazi rasmi.
Kuna watu akili zao sijui zina nini. Wanamchukulia Mbowe kama Baba yao.Usimchukulie poa mwenzako kila mda anaitwa ikulu kuongea na Mama,..unajua wanaongea nn?,..je wewe ushawahi nusa hata mlango wa ofisi ya waziri yoyote tz?
😅😅🤣Naungana na wengine
Askari akivaa gwanda salam yake ni salute hapana shikamoo
Na kujua ivo tungepata na picha tuone DJ alipokeaje kama sio kwa kushukuru kiraia
Unadhani? It's good kwa kuwa umekiri kuwa unadhani.Commissioned officers, presidential appointees nadhani hao ndo wenye sifa ya kupigiwa salute
Huyo mangi anafit wapi kwenye hizo criteria tajwa hapo juu
Mbowe mwenyewe ni Kamanda sasa hapo Mapoti wamekutana shida iko wapiSalute ni sawa na neno shikamoo.
Mbowe ni mtu mzima kwa umri na mwenye status yake mwacheni apigiwe saluti akiwa hao sio siku akifa ndio muanze kupiga saluti na kuinama kwenye jeneza lake.
Mpeni maua yake acheni kubana bana hiyo kitu
Akaendike hata page 1m hakuna mwenye tatizo na hilo. Ushahidi wa jeshi letu kukosa uadilifu wala sio wa kutafuta, upo wazi. Kungekuwa na vyombo huru vya kiuchunguzi na sio huu mfumo wa kulindana, wala ushahidi wake hauchukui hata dakika 10.Najua huna ushahidi juu ya suala hili, ila kitendo cha huyo constable kumpigia salute huyo jamaa kinahitaji maelezo marefu sana
Acha wivuCommissioned officers, presidential appointees nadhani hao ndo wenye sifa ya kupigiwa salute
Huyo mangi anafit wapi kwenye hizo criteria tajwa hapo juu
Kibarua chake kipa mashakaniKitu kingine nilichokiona kwenye utawala uliopita ni wananchi kukosa kabisa Uhuru , Amani , furaha na Upendo , kiasi cha kila mtu kuona mwenzake ni Adui .
Kumbe Uhuru , Upendo na Amani vinazalisha Furaha .
Hebu angalia Picha hii halafu toa maoni yako .
View attachment 2639634
Wivu wa nini..? Salute..? Nimezipokea, nazipokea, hata kesho asubuhi nitazipokea nyingi tuuAcha wivu
Achana na huyo corropted monded atakopotezea muda to hapa.Akaendike hata page 1m hakuna mwenye tatizo na hilo. Ushahidi wa jeshi letu kukosa uadilifu wala sio wa kutafuta, upo wazi. Kungekuwa na vyombo huru vya kiuchunguzi na sio huu mfumo wa kulindana, wala ushahidi wake hauchukui hata dakika 10.
Unasema hakuna ushahidi, sio kwakuwa ushahidi wa kutokuwa waadilifu haupo, lakini unajua mfumo wenye uozo wa kulindana ni mkubwa kiasi kwamba ushahidi utatupiliwa mbali. Inshort unajivunia mfumo mbovu wa haki nchini. Na inaonekana ww ni mnufaika wa huu mfumo mbovu. Acha vitisho vya kijinga, salute sio kitu cha maana kama unavyodhani.
Ingekuwa sheria zinafuatwa hivyo, Magufuli asingeweza kupokea wanaccm kwenye kamisheni ya jeshi mchana kweupe, wakati jeshi limetengwa kabisa tena kikatiba na mambo ya siasa. Na kila siku tunaona polisi wakishiriki shughuli za CCM na hakuna hatua yoyote wanachukuliwa.
Basi Chadema hapo mnasikia raha sana aiseeKitu kingine nilichokiona kwenye utawala uliopita ni wananchi kukosa kabisa Uhuru , Amani , furaha na Upendo , kiasi cha kila mtu kuona mwenzake ni Adui .
Kumbe Uhuru , Upendo na Amani vinazalisha Furaha .
Hebu angalia Picha hii halafu toa maoni yako .
View attachment 2639634
Narekebisha neno nadhani limetokaUnadhani? It's good kwa kuwa umekiri kuwa unadhani.
Kwa kuwa umedhani, basi sitaendelea
Sasa shida ni mwenzako kupewa salute? Umepongukiwa nini sasa?Wivu wa nini..? Salute..? Nimezipokea, nazipokea, hata kesho asubuhi nitazipokea nyingi tuu