Hii hapa Picha nyingine bora ya Wiki hii, Imepigwa Tabora

Hii hapa Picha nyingine bora ya Wiki hii, Imepigwa Tabora

Commissioned officers, presidential appointees nadhani hao ndo wenye sifa ya kupigiwa salute

Huyo mangi anafit wapi kwenye hizo criteria tajwa hapo juu
Hujui.

The salute is as old as history itself, for, essentially, it is at once a greeting and a mark of respect, and, as such, long pre-dates organized military forces. In whatever stratum of society, the characteristic that marks a gentleman or a lady is the respect he or she shows towards superiors subordinates and peers alike.
 
Narekebisha neno nadhani limetoka
Hata walati wa kuaga maiti askari huiaga kwa kupiga saluti.
Hata akikuta gari ya mkubwa wake imepaki, (zile zenye nyota) anatakiwa azipigie saluti.
Hakimu katika eneo lake la kazi anapigiwa saluti.
Wabunge pia hupigiwa saluti.
Saluti ni salamu ya askari
 
PGO namba 200 imeainisha taratibu za saluti kwa viongozi wa Serikali na taasisi zingine kama ifuatavyo:-
Askari wa vyeo vyote wanatakiwa kupiga saluti kwa Mheshimiwa Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Makamu wa Kwanza na Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania naJaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mawaziri wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Viongozi wengine wanaostahili kupigiwa saluti ni pamoja na Wakuu wa Mikoa na Majaji wanapokuwa katika maeneo yao ya kazi. Aidha, kuanzia askari mwenye cheo cha Konstebo hadi Mkaguzi wanapaswa kuwapigia saluti Wakuu wa Wilaya na Waheshimiwa Mahakimu wote wanapokuwa katika maeneo yao ya kazi.
 
Kitu kingine nilichokiona kwenye utawala uliopita ni wananchi kukosa kabisa Uhuru, Amani , furaha na Upendo, kiasi cha kila mtu kuona mwenzake ni Adui.

Kumbe Uhuru, Upendo na Amani vinazalisha Furaha.

Hebu angalia Picha hii halafu toa maoni yako.

View attachment 2639634
Hivi Ndivyo Mama Samia anapenda Peace and Harmony.
 
PGO namba 200 imeainisha taratibu za saluti kwa viongozi wa Serikali na taasisi zingine kama ifuatavyo:-
Askari wa vyeo vyote wanatakiwa kupiga saluti kwa Mheshimiwa Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Makamu wa Kwanza na Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania naJaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mawaziri wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Viongozi wengine wanaostahili kupigiwa saluti ni pamoja na Wakuu wa Mikoa na Majaji wanapokuwa katika maeneo yao ya kazi. Aidha, kuanzia askari mwenye cheo cha Konstebo hadi Mkaguzi wanapaswa kuwapigia saluti Wakuu wa Wilaya na Waheshimiwa Mahakimu wote wanapokuwa katika maeneo yao ya kazi.
Hiyo PGO ingekuwa inafatwa Tanzania ingekuwa nchi ya Kwanza au ya pili kwa maendeleo.

Acha kukaza fuvu kwa vitu vidogo.

Mambo makubwa hamyafati.
 
d3635594f1849f50148855f3992a94ec.jpg
 
Kitu kingine nilichokiona kwenye utawala uliopita ni wananchi kukosa kabisa Uhuru, Amani , furaha na Upendo, kiasi cha kila mtu kuona mwenzake ni Adui.

Kumbe Uhuru, Upendo na Amani vinazalisha Furaha.

Hebu angalia Picha hii halafu toa maoni yako.

Nimemuuliza chatgpt, majibu yake:

Saluti ni ishara ya heshima, heshima au kutambua inayofanywa na mtu au kikundi kwa mtu mwingine au kikundi kingine. Lengo la saluti hutofautiana kutegemea muktadha ambao inatumika. Hapa kuna maana na malengo ya kawaida ya saluti:

1. Saluti za kijeshi: Katika jeshi, saluti ni njia rasmi ya kuonyesha heshima na kutambua afisa mkuu au bendera. Saluti pia hutumiwa kutoa heshima kwa wanajeshi waliopoteza maisha au kutambua kupita kwa mtu mwenye hadhi.

2. Salutui za raia: Raia wanaweza kutumia saluti kama ishara ya heshima au mkusanyiko. Kwa mfano, mtu anaweza kusaluti rafiki au mtu wanayejua wanapokutana mitaani kama njia ya kutambua uwepo wao au kuonyesha heshima.

3. Saluti za michezo: Katika michezo fulani, wanamichezo wanaweza kutumia saluti kama ishara ya sherehe baada ya kufunga goli au kushinda mchezo.

Kwa ujumla, saluti ni njia ya kutambua uwepo au hadhi ya mtu au kikundi kingine, na mara nyingi hutumiwa kama ishara ya heshima au heshima.
 
Back
Top Bottom