Hii hapa Television ya kumiliki kulingana na kipato chako

Goodvision 43" picha nzuri uimara kama wote​

 
Hata siku moja msijidanganye kwenye ulimwengu wa electronics especial TV's kwasasa mkamlinganisha Samsung na hao wengine. LG ni wabovu sana tena kwenye vioo.
Mkuu labda LG fake
Ninayo huu mwaka wa 3 na haina tatizo lolote ni
50inch tena bei ilikuwa rahisi sana kwa ulaya
Naona huko wanawaingizia fake nyingi sana
 
Kwa hiyo bei ungeongeza 40k ungepata Alitop 43" ina kioo kizuri sana kwa hizi kampuni za kichina
Wenge kaka.ndo maana najuta.alafu hivi wale wauzaji uwa wana kitu gani wanaweka.
Ukion TV ipo dukani.picha inaonesha clear kabisa mpaka unasema hii si ndo TV.mama wee.ibebe sasa .mawingu sio mwaingu,ukungu sio ukungu.au wana kiini macho?
 
Wenge kaka.ndo maana najuta.alafu hivi wale wauzaji uwa wana kitu gani wanaweka.
Ukion TV ipo dukani.picha inaonesha clear kabisa mpaka unasema hii si ndo TV.mama wee.ibebe sasa .mawingu sio mwaingu,ukungu sio ukungu.au wana kiini macho?
Inategemea wana play kutumia source gani, kwa mfano TV zenye 4K mtu akiweka content ya 4k itaonekana vizuri ila ukifika nyumbani ukaunganisha na azam wao hawana content yenye 4k hapo lazima uone mawingu
 
Kwa hizi za kichina TV nyingi usiwe na mpango wa kuishi nayo miaka mitatu apo utawi

Nimesikia kuwa Hisense huwa zinatoka sana mistari hasa kuanzia inch 43 kwenda juu
Ninayo ni mwaka Sasa,na imepitia changamoto zote mpaka zile za wanadamu wenye" fungu la kukosa" mpaka sasa ninayo inadunda, unajua" fungu la kukosa" waliniibia hadi remote ya Tv yenyewe, remote ya king'amuzi Na redio lakini nadunda tu kudaadeki.
 
Inategemea wana play kutumia source gani, kwa mfano TV zenye 4K mtu akiweka content ya 4k itaonekana vizuri ila ukifika nyumbani ukaunganisha na azam wao hawana content yenye 4k hapo lazima uone mawingu
Ngoja nipambane nichukue Samsung. Mimi napenda TV sana.
Hela za kununua magari hatuna. Hata TV nzuri zitushinde?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…