Hii hapa Television ya kumiliki kulingana na kipato chako

Ule mtego hata wewe hauchomoki.
Pia ubahili.
Ila muda sio mrefu naachana nayo.sitaki kuuza kabla sijanunua mpya.maana kuna wakati mitego inagoma kufyatuka.
Nimejifunza kitu kimoja katika maisha cheap ni ghali

Kwenye miaka ya 2014 nilinunua samsung nchi 43 kwa 1.5 sikujutia,ilikaa miaka saba bila shida yoyote,baadae ikakaa mwaka mmoja bila kuwashwa ndio kuna kitu kilizingua ni bei ndogo tu,lkn ipo store imepumzika
 
Anasema tangu anunue Iko hivo labda afanye hivo
Kwahiyo wez walisubir mtengeneze
Ya bimkubwa ilikuwa safi kabisa,ila ilikaa kama miezi sita bila kuwashwa ndo kuja kuwashwa ikawa dark,unajua hivi vitu vikianza kutumika usiache kabisa kuviwasha washa

We acha tu kpnz,baada ya kutoka kwa fundi kama mwezi mmoja wezi wakaona isiwe tabu ngoja wakajiachie na smart tv
 
Napenda Sana Sony Tv hua naona picha inakua nzuri,vp uhalisia wa hili la ubora wa picha ukilinganisha na samsum na Lg?Vp pia kuhusu uimara wake bw koffi annan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…